Ushauri: Mume wa mtu niliyezaa naye watoto watatu amefariki na ameacha mali nyingi, nifanyaje kudai haki za wanangu pasipo Mume wangu kujua?

yani azae na wew watoto watatu ila mkewe azae nae mmoja. sikia tafuta vitafunwa
 
Huu uozo umeutolea wapi, na kama ni kweli basi hamna haki inyotafutwa ni uroho wa mali,

Dah, hata siwezi kuendelea kuandika naona ntaichosha akili buuuuure
 
Ndoa yangu ina miaka 12 mimi na mume wangu hatuna shdia, kabla ya mume wangu kuna mwanaume nilikua naye, alikua ni mume wa mtu, nilibeba mimba yake nilipomuambia akaikataa,

Kwakuwa kupindi hicho ndiyo nilikua nimeanza mahusiano na mume wangu nilibambikizia mimba na akanioa. Baada ya kuolewa yule Baba alirudi akaomba msamaha na kusema yuko tayari kuhudumia mwanae hata kama atatumia jina la mume wangu.

Basi nilimkubalia na tangu kipindi hicho alikua anahudumia mwanae kwa kila kitu. Kwakua alikua ananijali na kipato chake ni kikubwa basi nilijikuta narudiana naye, nikabeba mimba yake ya pili, nilimuambia mume wangu ni yake naye akawa anahudumia ila bado yule baba aleindelea kujali wanae mopaka kuwasomesha,

Mume wangu kipato ni cha kawaida ila mimi nafanya kazi pia, anajua nchukua mikopo kwaajili ya ada lakini ukweli Baba yao ndiyo anawasomesha. Niliamua kumazalia mume wangu mtoto mmoja ambaye ndiyo mwanangu wa tatu, lakini mtoto wangu wa nne ni wa yule Baba.

Baadahi ya ndugu zake alishawatambulisha na wanajua watopto wao kwani nilishawapeleka kwa Dada yao. Mwaka jana alianza kuumwa na mwezi huu mwanzoni alifariki dunia. Nilienda kwenye msiba kama watu wengine,

Sababu ya kuja kwako ni hivi, Baba wa wanangu kaacha mtoto mmoja tu na mke wake, lakini ana mali nyingi sana, ana nyumba 9, magari ya mizigo zaidi ya kumi na vitu vingi.

Nimefuatilia na kugundua kuwa hakuacha wosia inamaana mali zake nyingi zimebaki kwa mwanae aliyezaa na mke wake kwani ndugu nao wana mali zao hawhaangaiki naye. Natamani kwenda kudai haki za wanangu kwani kwakua dada yao ananifahamu na anawafgahamu watoto wa Kaka yake naamini nitapata.

Hofu yangu ni kama huyo mke wake atakataa na kusema hanitambui, nahofia kama ikiwa kwenda mahakamani labda mume wangu atajua. Kusema kweli nimechanganyikiwa, ndoa naitaka lakini mnikiwaza haki za wanangu natamani kwend ahata mahakamani, mimi ndiyo napaswa kupata kikubwa kwani nimemzalia watoto wa 3 wakati mke wake ana mmoja tu!

Wewe umejenga kwenye kiwanja cha mtu yeye ana hati.... hili ndio ulilofanya, haya jiulize hapo nani mmiliki?
 
Hii ingewezekana tu kama walishawahi kwenda kutambulishwa rasmi(Kimila au vinginevyo) kwa familia ya baba yao wakati akiwa hai na akawakubali.. kwani kwa sheria za Tanzania mtoto aliyetambulishwa na anayetambulika kwenye familia ya baba ni mnufaika halali wa urithi wa baba yake na ana haki ya kurithi kiasi cha mali ya baba yake..
vinginevyo haiwezekani tena..
 
Kama kweli ww ni mpumbavu wakutupwa kweli wanawake mtajaa motoni wengi mno wala vitabu havijasema uongo Duuuh ndo nn sasa hii alafu ulivokuwa huna akili bado unataka kudai mali yaani ww umekaa kimali mali mroho wa fedha.

Watu km nyinyi mnao penda fedha ndo mnakuwa wachawi ukikosa hizo fedha maana unajawa na chuki na husda mwenzio akipata. Sasa kwa taarifa yako km upo kwenye ndoa hao watoto wamumeo Daa sjui utaenda sema nini kwa Mungu
 
Natamani nikutukane ila ngoja niseme tu kwa busara.
1. Ukienda mahakamani utaulizwa kuna wosia wowote uliandikwa??
2. Watoto wanatumia majina ya nani??
3. Usalama wa ndoa yako ukoje??

Mwisho nikushauri tamaa mbaya sana na dhambi hiyo kwa mmeo wa ndoa itakusumbua sana nafsini mwako na hicho ni kidonda ndugu
 
Tamaa imekufikisha hapo, tamaa tena inakubeba kwenda kudai mali....

Ni rahisi mno, kwa hali ilivyo lazima ukubali jambo moja tu kwa sasa, kutoa ukweli wote ili ndoa ife au ubaki na siri moyoni na ukose hizo mali za mzazni mwenzio.

Wanaume tunapitia mengi sana.
 
Shwetani mkubwa mno. Nyie ndiyo mnaodhalilidha mume ww ndoa kisa ana kipato kidogo.

Yaani huna soni wala aibu. Mnafiki mkubwa unadanga huku mume unaye.

Bichwa kama la garimoshi unazaa nje ya ndoa watoto watatu hata huujiulizi watatumzwaje kama huyo mzinzi mwenzako akikata Moto.

Sasa Ona amekata Moto na chako huna.

Tafuta Bwana mwingine maana wewe ni Bingwa wa kugawa.
Na hao watoto sijui atasomeshaje?? Kwa kuwa kazoea umalaya atatafuta danga lingine
 
Kama Ni kweli utauwawa na bwan ako huyu

Ndio maana nikisikia mauaji ya wanawake na watot kumbe Sababu ndio hz hz.uwezi kuwa salama dad
 
Na hivi ndivyo jinsi unavyo andaa kifo chako na pia kuua hao watoto watatu.

Nenda kadai sisi tunasubiri kwenye Tv na Magazeti habari zenu.
 
Back
Top Bottom