Kama umekiri kwamba hata hili uliweza vilia....Siye japo na huyu wng aliwAhi loweka mpaka funZa wakajitokeZa akazchimbia shimo
Kabisaa mkuu, ni venye mie ni mwanamke. Aki angenyooka tu, kulishana nnya kisa nini jamaniNaona kabisa vile unavyo tamani ungekua ndio huyu jamaa.....
Bilashaka huyo mke ndipo angetambua kwamba maharage ni mboga ya serikali.....
Kama ni hivyo.....
Huyo hata wazazi wake waliyajua hayo, na ulipo jitokeza kumuoa..... Ama kwa hakika wazazi walipumua
Ndo ivo mkuuKabisa Sakayo.
Ona sasa unavyo jichanganya...Wakuu nnamachungu sana nataman kuondoka daah sjui nfanyaje na nkimfokea tu anampgia cm MAMA ake japo MAMA ake ni mtu mwema sana kwangu
Ngoja nijibanze hapa pasipoonekana.. Sitaki kuandika comment yeyote ile..
Bilashaka patakua pameoza kabisa aiseeeeeeNawaza tu pale kati si patakua na msitu wa amazon?daah pole sana mkuu...ila huyo mwanamke hajafundwa kwao?
Watu wanaroga wapate hiyo ndoa ndygu, baada ya hapo ni kilio, Nina ushaidi tosha kwangu mie mwenyeeewe, sasa mume anakiona cha moto, anatamani arudi alikotokaUlisaidiwa kuoa?
Yaani hukuyaona yote hayo kabla? Ata tudalili twa uchafu?
Au ndo love is blind???
Pole sana
Mbaya sanaUnajua hii mitandao pia inachangia ,hatukatazwi kukaa ktk mitandao ila tujue kujipangia mda,mda wa usafi ni usafi,mume yupo nyumban ni mda wa kuspend nae,mume katoka uko pekeako uo ndo mda wa kuchezea mitandao,lkn utamkuta mwanamke anaamka tu asbuh anadandia simu,hapo usafi bado wa nyumba,hajapika,hajafua,hajafanya lolote.
Baadae kashaona tyme imekwenda ndo atapika haraka na kuandaa alaf anaendelea na simu,unajua inakera sanamavyombo siku mbili hayaoshwi,nguo ndo mwezi ,huu ni msiba kwa wanawake hmmm!!!
Nimevumilia nnashindwa sasa Leo alfajiri wakati najiandaa enda job daah nkakuta kaweka kopo la chooni ndani ya ndoo ya kuhifadhia maji ya kunywa ukimuulza hayo majibu yake khaa jana kalala bila kuoga kisa baridi full harufu ya majasho na nnaamini kaenda job kwake hajaoga maana nilimuacha hajaamka hzo ndoo za kuhifadhia maji ukiziona mpaka aibu ukimuulza jibu sina muda khaa usafi chooni hafanyi mpaka niinglie Kati nafanye yaani wagen wakija wakati mwngne naombea wasiingie chooni aibu sana huwa namsaidia mpaka kufua kupka kuteka.maji nk nguo anachanganya chafu na safi,kitanda hakitandkwi ninaskitika wakati wa mwanzo hakuwa hivi kabisa sjui hii ndo rangi yake daah naombeni ushauri ningekuwa mpigaji ningekuwa nishaua soon pia nisingekuwa si mtu wa iman ningeshajitwalia kimada jaman akina Dada ndo mko hivi. Mkishaolewa?chumba nispochangamka kinaweza malza Week hakuna usafi nmechoka sana naombeni ushauri wakuu
Hapo la kwa kwanza akae azungumze nae,amueleweshe ,akiona hali mbaya haelewek na majib anayopewa mabovu,kiukwel hamna mwanamme anaependa kuishi na mwanamke mchafu anaenuka kama shombo na nyumba kunuka kama kidonda.Okay mshauri sasa juu ya mwanamke mwenzetu..
Ni mwanamke mwenzetu huyo ujue tusimkandamize
[HASHTAG]#komboawanawakewenzako[/HASHTAG]
Nini mbaya mkuuMbaya sana