Kwani kumwona anakula naye ndio anatembea naye. Kwani we umeshawahi kula na watu wangapi, ndio kusema wote hao umetembea nao? Akili za kuambiwa changanya na zako, tatizo umeshaamini umbea ndio maana unashindwa kuwa wise man. We umetuambia binti ni mstarabu, hivyo ndio anaonesha ustarabu kwa kila mtu akiwemo mwalimu wake.
mdogo wangu, siku hizi nimeamua kabla sijatoka sugu kushauri watu niwe na-google kwanza vizi story, nakushauri na wewe uwe unafanya hivyo
..
nimezigundua nyingi sana ndo maana wala huwa sichangii serious, nikiingia ni kuchat tu na siyo kutoa ushauri
hii inaniudhi sana
mdogo wangu, siku hizi nimeamua kabla sijatoka sugu kushauri watu niwe na-google kwanza vizi story, nakushauri na wewe uwe unafanya hivyo
Ushauri mchumba wangu anatembea na lecturer wake | Udaku Specially
cc. Ablessed, Nivea, Smile, BAK, Dark City. watu8, Jiwe Linaloishi, cacico, Mamndenyi, King'asti, mwaJ, Kaunga, gfsonwin, Nyani Ngabu, Preta, sweetlady, dada white, Kongosho, ...........
Just let her be. It's her vajayjay, you know. She can give it to whoever she wants.
hko kidemu chako tamaa mbele,piga chini,heri dharau kuliko fedhea