Ushauri mchumba wangu anatembea na lecturer wake

Ushauri mchumba wangu anatembea na lecturer wake

Kwanza wanafunzi yenu punyeto,haina gharama!kitururu waachie wakubwa

Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums
 
:angry:mi nazani ni vyema ukakaa naye huyo mwana dada na kumueleza kwamba anacho kifanya ni kinyume na matakwa ya mapenzi yenu.bt kaza buti mwana hao ndo wachumba wa kidigitale:confused3:
 
mambo mawili

1. fanya sherehe kubwa kushinda ile waliyofanya Man Utd kuagana na Sir Alex Fergie kuhitimisha uhusiano na huyo bidada
2. zingatia masomo yako umalize salama.
 
Haha hivi wasoma saa ngapi?manake kutwa kuchwa uko jf afu ukifel test unakimbilia kujikomba kwa lecturer akupe marks za bure grow up, soma knowlegde haiji hivihivi

gal fyt hapa...lol ngoja niwaletee foam na bikinis mdubdane while naked
 
Mwambie yake sabuni hela ya salon hana afu anataka demu mkali usijidanganye dogo kuwa na demu mjini garama soma ukomboe familia yako toka lindi la umaskini
Kwanza wanafunzi yenu punyeto,haina gharama!kitururu waachie wakubwa

Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums
 
word super babe!atampangia wa kumpa?

SUPER+5.JPG
 
Ongea nae kwanza halafu tuletee mlichoongea
hapa Jukwaani ili tuchangie vema
Ila kwa ulicholeta hapa itabidi ukubali
matokeo ili yaishe.

Pole sana
Pesa ni Kisu japo hapo hakuna mapenzi
na huyo mpenzi wako anajua.
zaidi ili apate digrii
Kumbuka ndiyo wataalam wa kesho hao
akija mweupe zaidi ni ukali ofisini.
 
Kwani kumwona anakula naye ndio anatembea naye. Kwani we umeshawahi kula na watu wangapi, ndio kusema wote hao umetembea nao? Akili za kuambiwa changanya na zako, tatizo umeshaamini umbea ndio maana unashindwa kuwa wise man. We umetuambia binti ni mstarabu, hivyo ndio anaonesha ustarabu kwa kila mtu akiwemo mwalimu wake.
 
pole sana mambo ya mapenzi ni magumu sana na hata inapelekea mtu kuchanganyikiwa kabisa kama hivi kikubwa ninachokiona mimi mwite ukae nae na akwambie kila kitu kuhusu uhusiano wao kuwa umeanza lini? ili ujue yawezekana ni mambo ya tamaa kwa huyo binti anakula vyake lakini hana mapenzi ya kweli kwake ila ni kwako ukipata ukweli kutoka moyoni mwake from that unaweza kuchukua hatua kuhusiana na hili tatizo kinyume na hapo utakuwa unakurupuka na unaweza kujutia mamuzi yako ni hayo tu
 
Kama kweli she is moving na huyo lecturer achana nae tu b'se mwisho wa siku utaumia wewe
Pole
 
++
Hata kama unampenda kuliko uhai wako
Jifunze kusema na moyo wako.
Sikiliza wimbo wa 20% Ya nini malumbano
++
 
Haha najua una hasila nilipokuita mad ama killer,am sorry man i didnt mean it u ma friend

mie hasira ya nini...nipo jf kuburidisha balaza tuu....nacheka naongeza siku zangu za kuishi na kugegeda...ebu piganeni bana mie nione
 
Kugombana si fani yangu....!mtu anaekwambia anakuona muda wote jf ujue nae yumo.Jf inaniongezea cku za kuishi,huwa nafurahi sana na vikwazo ni sehemu ya maisha.Vidole havilingan
 
Ha ha ha huyu mtoto mdogo mno namchapa na pesa ya matumizi chuoni asome bila stress ili kina mzabzab msimdanganye na chipsi kuku
mie hasira ya nini...nipo jf kuburidisha balaza tuu....nacheka naongeza siku zangu za kuishi na kugegeda...ebu piganeni bana mie nione
 
Back
Top Bottom