Ushauri, Maoni na Msaada: Kwa wanaotaka kujilipua nje ya nchi kusaka maisha, kusoma na kuwekeza

Mkuu thread yako ni nzuri sana ila shida ipo katika mamo kadhaa:-
1.Jisi gai aweza kupata sponsor kwa kila nchi mfano USA, UK ,SA , Canada,Demark etc
2.Niandae fedha kiasi gani kama auli ya kuweza kufika mojawapo ya nchi hizo?
3.Je balozi wa nchi hizo walioko hapa nchini kwetu na yule wa kwetu aliyeko nchi husika waawezanipa financial support?
4.Ni shuguli zipi za mikono na za akili ambazo mtanzania unaweza kwenda ukaajiriwa huko?
 
Mkuu thread yako ni nzuri sana ila shida ipo katika mamo kadhaa:-
1.Jisi gai aweza kupata sponsor kwa kila nchi mfano USA, UK ,SA , Canada,Demark etc
2.Niandae fedha kiasi gani kama auli ya kuweza kufika mojawapo ya nchi hizo?
3.Je balozi wa nchi hizo walioko hapa nchini kwetu na yule wa kwetu aliyeko nchi husika waawezanipa financial support?
4.Ni shuguli zipi za mikono na za akili ambazo mtanzania unaweza kwenda ukaajiriwa huko?
Jamani kuna Agent ame jitangaza ktk group fulani huko Cape town SA jamaa yangu ame nipa hii connection km vp walio serious tumtathini huyu Agent. Sa'bu naona humu watu hawatoi taarifa zilizo nyooka,na Tz tulivyo wachoyo wa connection.
Waliopo ktk hilo group hii information watakua wana ijua 👇

Kwa mahitaji ya Visa zenye uhakika kwa nchi kama
Canada🇨🇦
United states of America 🇺🇸
Schengen countries 🇩🇪🇸🇪🇳🇴🇮🇸 all countries guaranteed✈️
Inbox or call: 0622006139
 
Jamani kuna Agent ame jitangaza ktk group fulani huko Cape town SA jamaa yangu ame nipa hii connection km vp walio serious tumtathini huyu Agent. Sa'bu naona humu watu hawatoi taarifa zilizo nyooka,na Tz tulivyo wachoyo wa connection.
Waliopo ktk hilo group hii information watakua wana ijua 👇

Kwa mahitaji ya Visa zenye uhakika kwa nchi kama
Canada🇨🇦
United states of America 🇺🇸
Schengen countries 🇩🇪🇸🇪🇳🇴🇮🇸 all countries guaranteed✈️
Inbox or call: 0622006139
Thanks alot mkuu, barikiwa!
 
Jaman vipi kuhusu china? Kuna jamaa angu mchina alipo kuwa bongo alikomaa Sana twende nae china akasema kuhusu kazi atajua yeye au ntaanza na driving kwa kutumia international licence na KIPINDI anaondoka akaniachia mpaka nauli, akaniambia nikiwa tayar nimwambie kuhusu visa atanitumia invitation letter
Daahh so ukapoteza hiyo opportunity ??
 
Back
Top Bottom