King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 51,960
- 69,289
Vijana msiogope si mmeona ROMA life lilivyompiga kaenda US kupiga BOX.? Maisha ni Kupambana.
Jamani kuna Agent ame jitangaza ktk group fulani huko Cape town SA jamaa yangu ame nipa hii connection km vp walio serious tumtathini huyu Agent. Sa'bu naona humu watu hawatoi taarifa zilizo nyooka,na Tz tulivyo wachoyo wa connection.Mkuu thread yako ni nzuri sana ila shida ipo katika mamo kadhaa:-
1.Jisi gai aweza kupata sponsor kwa kila nchi mfano USA, UK ,SA , Canada,Demark etc
2.Niandae fedha kiasi gani kama auli ya kuweza kufika mojawapo ya nchi hizo?
3.Je balozi wa nchi hizo walioko hapa nchini kwetu na yule wa kwetu aliyeko nchi husika waawezanipa financial support?
4.Ni shuguli zipi za mikono na za akili ambazo mtanzania unaweza kwenda ukaajiriwa huko?
Thanks alot mkuu, barikiwa!Jamani kuna Agent ame jitangaza ktk group fulani huko Cape town SA jamaa yangu ame nipa hii connection km vp walio serious tumtathini huyu Agent. Sa'bu naona humu watu hawatoi taarifa zilizo nyooka,na Tz tulivyo wachoyo wa connection.
Waliopo ktk hilo group hii information watakua wana ijua 👇
Kwa mahitaji ya Visa zenye uhakika kwa nchi kama
Canada🇨🇦
United states of America 🇺🇸
Schengen countries 🇩🇪🇸🇪🇳🇴🇮🇸 all countries guaranteed✈️
Inbox or call: 0622006139
Nipe iyo connection. MkuuMimi niliambiwa nitoe dola 2500 nipate visa ya Canada.nimekwama hapa naitafuta sijui nitapata lini niende nchi ya ahadi
Usd 2000?? Acha kutushika...atakuwa tapeli uyooYupo jamaa yangu anafanya za canada kwa USD 2000 n wa uhakika
Yupo mshkaj kwa 2000 USD mkuu ukiwa serious nichekNipe iyo connection. Mkuu
Hapana mkuu ,ipo juu ?au chini?Usd 2000?? Acha kutushika...atakuwa tapeli
Utashikishwa ukuta wewe
Mkuu niko serious acha masikhara mzee ..ngoja nikuchekiYupo mshkaj kwa 2000 USD mkuu ukiwa serious nichek
Hipo chini sana ndo maana naona kama ni ka utapeli fulani ivi ..kama ni kweli tufanye biasharaHapana mkuu ,ipo juu ?au chini?
Daahh so ukapoteza hiyo opportunity ??Jaman vipi kuhusu china? Kuna jamaa angu mchina alipo kuwa bongo alikomaa Sana twende nae china akasema kuhusu kazi atajua yeye au ntaanza na driving kwa kutumia international licence na KIPINDI anaondoka akaniachia mpaka nauli, akaniambia nikiwa tayar nimwambie kuhusu visa atanitumia invitation letter
Oya siyo fresh kutuma na kuexpose number za simu humu kama vipi post hiyo link hapa kila mtu ajoin anayetakaJamni wekeni namba group lishaundwa tayari..ili group la uzi maoni ushauri na mambo mengine ili tufanye mambo kwa wakati naata kupeana document za hpa na pale..tufanye hvyo jmni muda wa maneno akuna jmni.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ntaafute mkuu na Shaka ondoaHipo chini sana ndo maana naona kama ni ka utapeli fulani ivi ..kama ni kweli tufanye biashara
Sent from my SM-A305F using JamiiForums mobile app
Hebu check nae utupe mrejeshoHipo chini sana ndo maana naona kama ni ka utapeli fulani ivi ..kama ni kweli tufanye biashara
Sent from my SM-A305F using JamiiForums mobile app