data
JF-Expert Member
- Apr 9, 2011
- 26,943
- 23,883
Ataelewa tu baadae.Ha Haaaa....35 mwanza na dar utaona kama sawa mbezi na ubungo...
Ataelewa tu baadae.Ha Haaaa....35 mwanza na dar utaona kama sawa mbezi na ubungo...
29 no marriage no kids?!
Olewa tu Kama man pendana Mungu atawasaidia.Habari wakuu,
Mimi ni mdada natamani kuingia katika ndoa hivi karibuni,nina mtu wangu lakini hatujatambulishana bado kwasababu bado natafakari niamue kipi. Kinachonisumbua ni kuwa tunakaa mikoa tofauti yeye anafanya kazi huko Mwanza na mimi nipo Dodoma.
Kwa namna kazi yake ilivyo hawezi kuhama na kuja nilipo mimi na mimi pia ni hivyo hivyo. Sasa nikitafakari hali hii nashindwa kufanya maamuzi, kiukweli napenda sana na I always pray nipate ndoa ambayo tutakaa pamoja sehemu moja sio hizo za mbalimbali, pia nikifikiria na changamoto ya uaminifu katika hizi ndoa za siku hizi napata hofu na vile wanaume wenyewe ndio shetani huwa anawapitia sana! Akili yangu inakosa utulivu kabisa.
Nikikubali kuolewa na huyu mwanume maana yake tutaishi mbalimbali sijui kwa muda gani, kuanzia ndoa ikiwa changa hadi muda usiojulikana.
Naomba ushauri ndugu zangu ndani ya nafsi yangu nikifikiria kukaa mbalimbali nakosa amani kabisa!
No judging mkuu!29 no marriage no kids?!
Habari wakuu,
Mimi ni mdada natamani kuingia katika ndoa hivi karibuni,nina mtu wangu lakini hatujatambulishana bado kwasababu bado natafakari niamue kipi. Kinachonisumbua ni kuwa tunakaa mikoa tofauti yeye anafanya kazi huko Mwanza na mimi nipo Dodoma.
Kwa namna kazi yake ilivyo hawezi kuhama na kuja nilipo mimi na mimi pia ni hivyo hivyo. Sasa nikitafakari hali hii nashindwa kufanya maamuzi, kiukweli napenda sana na I always pray nipate ndoa ambayo tutakaa pamoja sehemu moja sio hizo za mbalimbali, pia nikifikiria na changamoto ya uaminifu katika hizi ndoa za siku hizi napata hofu na vile wanaume wenyewe ndio shetani huwa anawapitia sana! Akili yangu inakosa utulivu kabisa.
Nikikubali kuolewa na huyu mwanume maana yake tutaishi mbalimbali sijui kwa muda gani, kuanzia ndoa ikiwa changa hadi muda usiojulikana.
Naomba ushauri ndugu zangu ndani ya nafsi yangu nikifikiria kukaa mbalimbali nakosa amani kabisa!
OLEWA ENDELEA NA KAZI,HUKU UKITAFUTA KAZI ALIPO MMEO.Distance marriage mnaishi,mkishindwa si mnapena talaka tu;olewa tu ila kama mnapendana kwa dhati ,distance is nothing at all
its a norm kwetu waafrika kwamba baada ya ndoa ni lazima mke na mume wakae nyumba moja...moving italeta matatizo mapema sanaaaa,kwanza utaanza is his job better than mine na kama utakuwa hujapata kazi huko mwanza ndio shida kabisaaa, cause unahela yako ndio, what happens pale umetumia wee,hela inaanza kuisha, kazi hujapata so you now have to ask for money kila mara...sacrifices hufanyika sana, mi nakushauri kuanza kutafuta kazi au mradi wa kufanya mapemaaa huko Mwanza kabla hujaamua kuolewa. Tena pale uanze kufanyiwa visa vya maneno baada ya kuomba hela heheeheee...alafu watu wanasemaga money sio ishu, love is what matters...nyooooooo
kudadadeki mwanamke umeongea point....uluguruni huku tunasema " hilo nalo neno"
Sasa wewe faraaa unashanga nini hapo?29 no marriage no kids?!
Aliye kwambia wenye mimba awagongwi nani? nawanavyokuwaga na hamu.....na kale kajoto kao duuh nowmaaa.hizi long distance marriage ni shida asee!, mimi mkewng kaenda kusoma mwanza, now ndo yuko mwaka wa pili na maisha ya chuo ninavoyafahamu kuchapiwa dakika tu! na nikimcheki wife bado mteke, nikaamu kumbandika mimba aendenayo huko chuo moyowangu angalau umetulia sasa.
ila dada nakushauri usije acha kazi na kama mnapendana owaneni tu.
Na wanakuwa watumu kishenzi wamoto kama ovenHapo huja'solve kitu mkuu, wadau watachapa hivyo hivyo...mind you many women become very horny when they are pregnant!
Wewe kadada au kwa kuwa si wewe, ndoa ya mbali matatizoOLEWA ENDELEA NA KAZI,HUKU UKITAFUTA KAZI ALIPO MMEO.Distance marriage mnaishi,mkishindwa si mnapena talaka tu;olewa tu ila kama mnapendana kwa dhati ,distance is nothing at all