Nokia83
JF-Expert Member
- Jan 16, 2014
- 24,643
- 44,371
Haya lets wait n cYes this year ndio anataka tuanze process, hata yeye hapendi hilo eneo analofanyia kazi anatamani kweli kubadilisha kazi
Haya lets wait n cYes this year ndio anataka tuanze process, hata yeye hapendi hilo eneo analofanyia kazi anatamani kweli kubadilisha kazi
Hahahahahahahizi long distance marriage ni shida asee!, mimi mkewng kaenda kusoma mwanza, now ndo yuko mwaka wa pili na maisha ya chuo ninavoyafahamu kuchapiwa dakika tu! na nikimcheki wife bado mteke, nikaamu kumbandika mimba aendenayo huko chuo moyowangu angalau umetulia sasa.
ila dada nakushauri usije acha kazi na kama mnapendana owaneni tu.
You have a point. Kama wampenda mumeo acha kazi mfuate alipo. Tatizo watu mnaweka pesa mbele ya kila kitu.na kufikiria kuwa na kitu ndio security yako ipo guaranteed watu wengi wana everything and yet wapo lonely.
Ratiba ya Mungu ndio umekubalika sasa umempata wa kukuoa unaanza kumbwela, kwani umeambiwa hakuna mafanikio nje ya ajira? kubali kuolewa ukiwa kazini then kusanya mtaji wa ujasiriamali wa aina yeyeto halafu hamia mwanza full stopYes, kila mtu amepangiwa muda wa kuoa na kuolewa kwa wakati wake na Mungu, unaweza ukapanga ratiba zako zisikubali
hizi long distance marriage ni shida asee!, mimi mkewng kaenda kusoma mwanza, now ndo yuko mwaka wa pili na maisha ya chuo ninavoyafahamu kuchapiwa dakika tu! na nikimcheki wife bado mteke, nikaamu kumbandika mimba aendenayo huko chuo moyowangu angalau umetulia sasa.
ila dada nakushauri usije acha kazi na kama mnapendana owaneni tu.
Hapo huja'solve kitu mkuu, wadau watachapa hivyo hivyo...mind you many women become very horny when they are pregnant!hizi long distance marriage ni shida asee!, mimi mkewng kaenda kusoma mwanza, now ndo yuko mwaka wa pili na maisha ya chuo ninavoyafahamu kuchapiwa dakika tu! na nikimcheki wife bado mteke, nikaamu kumbandika mimba aendenayo huko chuo moyowangu angalau umetulia sasa.
ila dada nakushauri usije acha kazi na kama mnapendana owaneni tu.
we dada itakua ni mtu wa mara..lolOLEWA ENDELEA NA KAZI,HUKU UKITAFUTA KAZI ALIPO MMEO.Distance marriage mnaishi,mkishindwa si mnapena talaka tu;olewa tu ila kama mnapendana kwa dhati ,distance is nothing at all
Hiyo ndoa haifai mtaishia kuwa na nyumba ndogo na mwisho mtauwana bure,tafuta mwingine wa hapo DomHabari wakuu,
Mimi ni mdada natamani kuingia katika ndoa hivi karibuni,nina mtu wangu lakini hatujatambulishana bado kwasababu bado natafakari niamue kipi. Kinachonisumbua ni kuwa tunakaa mikoa tofauti yeye anafanya kazi huko Mwanza na mimi nipo Dodoma.
Kwa namna kazi yake ilivyo hawezi kuhama na kuja nilipo mimi na mimi pia ni hivyo hivyo. Sasa nikitafakari hali hii nashindwa kufanya maamuzi, kiukweli napenda sana na I always pray nipate ndoa ambayo tutakaa pamoja sehemu moja sio hizo za mbalimbali, pia nikifikiria na changamoto ya uaminifu katika hizi ndoa za siku hizi napata hofu na vile wanaume wenyewe ndio shetani huwa anawapitia sana! Akili yangu inakosa utulivu kabisa.
Nikikubali kuolewa na huyu mwanume maana yake tutaishi mbalimbali sijui kwa muda gani, kuanzia ndoa ikiwa changa hadi muda usiojulikana.
Naomba ushauri ndugu zangu ndani ya nafsi yangu nikifikiria kukaa mbalimbali nakosa amani kabisa!
why mkuu?we dada itakua ni mtu wa mara..lol
Umbali sio shida kubwa ya kuacha kuolewa. Utapata upweke lkn mnaweza kuongea asubuhi na usiku KILA SIKU halaf angalau mara moja kwa mwezi mmoja wk end anasafiri kwenda kwa mwenzake. Wkt mwingine kuomba ruhusa ya cku chache mnachukua likizo ya mwaka kwa kupishana kwa namna hiyo hamtakaa muda mrefu bila kuonana. Mimi baada ya miaka miwili na nusu ya ndoa mume wangu akaajiriwa mkoani. Tumeishi hivo kwa miaka 12. Mawasiliano ni kitu cha msingi na wakati mwingine umbali unaimarisha penzi coz mnatamaniana cku zote. Mtu akitaka kuchepuka hata mfanye kazi ofc moja atachepuka tu... Olewa dada kuchepuka huwezi tabiri. Omba Mungu akusimamie.Habari wakuu,
Mimi ni mdada natamani kuingia katika ndoa hivi karibuni,nina mtu wangu lakini hatujatambulishana bado kwasababu bado natafakari niamue kipi. Kinachonisumbua ni kuwa tunakaa mikoa tofauti yeye anafanya kazi huko Mwanza na mimi nipo Dodoma.
Kwa namna kazi yake ilivyo hawezi kuhama na kuja nilipo mimi na mimi pia ni hivyo hivyo. Sasa nikitafakari hali hii nashindwa kufanya maamuzi, kiukweli napenda sana na I always pray nipate ndoa ambayo tutakaa pamoja sehemu moja sio hizo za mbalimbali, pia nikifikiria na changamoto ya uaminifu katika hizi ndoa za siku hizi napata hofu na vile wanaume wenyewe ndio shetani huwa anawapitia sana! Akili yangu inakosa utulivu kabisa.
Nikikubali kuolewa na huyu mwanume maana yake tutaishi mbalimbali sijui kwa muda gani, kuanzia ndoa ikiwa changa hadi muda usiojulikana.
Naomba ushauri ndugu zangu ndani ya nafsi yangu nikifikiria kukaa mbalimbali nakosa amani kabisa!
Ha Haaaa....35 mwanza na dar utaona kama sawa mbezi na ubungo...29..!!!!!?? anyway. Wengine mnachelewa kukomaa akili. Subiri mpaka 35 ..labda issue za distance wont matter no more.
si unaushauri kanyaga twendewhy mkuu?