Ushauri: Long Distance marriage

Ushauri: Long Distance marriage

So unaamini muda wako bado?!
I wish ningewahi zaidi but unajua no way mwanamke unaweza kulazimisha kuolewa,what if hakuna mtu anakwambia kukuoa, au wanaotaka kukuoa unaona hutaweza kuishi nao! so it is beyond my ability only God can make it happen ! kwaakili na ujuzi wetu hatuwezi Mungu peke yake ndiye anweza.
 
I wish ningewahi zaidi but unajua no way mwanamke unaweza kulazimisha kuolewa,what if hakuna mtu anakwambia kukuoa, au wanaotaka kukuoa unaona hutaweza kuishi nao! so it is beyond my ability only God can make it happen ! kwaakili na ujuzi wetu hatuwezi Mungu peke yake ndiye anweza.
I cn c unataka kuolewa nw......this dude mmekuwa pa1 kwa muda gani?!
 
Hakuna kitu kama long distance marriage. Kama vipi acha kazi ukawe mama wa nyumbani. Kidogo ulichokusanya kitakusaidia hata kufungua biashara. Kwa umri wako ndoa ni muhimu kuliko hata hicho kimshahara...
 
29..!!!!!?? anyway. Wengine mnachelewa kukomaa akili. Subiri mpaka 35 ..labda issue za distance wont matter no more.
you are very wrong! ndoa sio fasheni ni agano na kuna mambo mengi humo ndani, na pia mimi nilikuwa natafuta kazi kwanza familia niliyotoka ni ya kawaida my parents wamenisomesha they are old now wamestaafu !niliona ni muhimu nipate kazi kwanza mengine yatufuata nitakuwa comfortable na huyo mwenzangu sitamtwisha mzigo mzito! na nitaamua kuwa na mtu ninyempenda kweli sio kwaajili ya fedha zake tu!
 
Fuata moyo wako tu,the rest of the world does not even matter. Do what you feel is right to yourself but most important in the eyes of God.
 
you are very wrong! ndoa sio fasheni ni agano na kuna mambo mengi humo ndani, na pia mimi nilikuwa natafuta kazi kwanza familia niliyotoka ni ya kawaida my parents wamenisomesha they are old now wamestaafu !niliona ni muhimu nipate kazi kwanza mengine yatufuata nitakuwa comfortable na huyo mwenzangu sitamtwisha mzigo mzito! na nitaamua kuwa na mtu ninyempenda kweli sio kwaajili ya fedha zake tu!
hujanielewa..... Uwe na usiku mwema.
 
Yes, kila mtu amepangiwa muda wa kuoa na kuolewa kwa wakati wake na Mungu, unaweza ukapanga ratiba zako zisikubali
pamoja kwamba Mungu anapanga ila sidhani kama mtu akijifungia chumbani na kumtukana kila mwanaume basi muda wake ukifika ataolewa

Mungu + juhudi binafsi ndipo ndoa itakujia

unamiaka 29 lakini bado unatafuta vikwazo (kazi, umbali) vya kuwa na mwenzio...kuwa makini na maamuzi yako ya mwisho huku ukizingatia umri wako na upendo wako kwa huyo rafikiyo wa sasa
 
hizi long distance marriage ni shida asee!, mimi mkewng kaenda kusoma mwanza, now ndo yuko mwaka wa pili na maisha ya chuo ninavoyafahamu kuchapiwa dakika tu! na nikimcheki wife bado mteke, nikaamu kumbandika mimba aendenayo huko chuo moyowangu angalau umetulia sasa.

ila dada nakushauri usije acha kazi na kama mnapendana owaneni tu.
 
Back
Top Bottom