mpimamstaafu
JF-Expert Member
- Jul 18, 2018
- 4,445
- 4,704
Wadau nawasalimu nyote.
Mimi ni mdau wa Sheria. Nimekuwa nafuatilia sana Shule hii ya Masuala ya Sheria "LAW SCHOOL". Kumekuwa na wimbi kubwa la vijana wanaomaliza mafunzo yao ya sheria katika Vyuo mbalimbali hapa Nchini.
Kwa uzoefu wangu ufundishaji wa Vyuo vingi ni wa kiwango cha chini sana.Na baada ya kuhitimu mafunzo yao Wanavyuo huomba kujiunga na Law School.
Kutokana na matokeo ya Law School kuonyesha kuwa Wanavyuo wengi hushindwa kufaulu mafunzo hayo.
Nashauri Law School iwe na utaratibu wa kuandaa Mtihani kwa waombaji wake ili wasio na uwezo wachujwe mapema kuliko kuendelea na utaratibu wa sasa wa kuwapokea wote walioomba na mwisho kuwa na matokeo ya kutia aibu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi ni mdau wa Sheria. Nimekuwa nafuatilia sana Shule hii ya Masuala ya Sheria "LAW SCHOOL". Kumekuwa na wimbi kubwa la vijana wanaomaliza mafunzo yao ya sheria katika Vyuo mbalimbali hapa Nchini.
Kwa uzoefu wangu ufundishaji wa Vyuo vingi ni wa kiwango cha chini sana.Na baada ya kuhitimu mafunzo yao Wanavyuo huomba kujiunga na Law School.
Kutokana na matokeo ya Law School kuonyesha kuwa Wanavyuo wengi hushindwa kufaulu mafunzo hayo.
Nashauri Law School iwe na utaratibu wa kuandaa Mtihani kwa waombaji wake ili wasio na uwezo wachujwe mapema kuliko kuendelea na utaratibu wa sasa wa kuwapokea wote walioomba na mwisho kuwa na matokeo ya kutia aibu.
Sent using Jamii Forums mobile app