Rare Sapphire
JF-Expert Member
- Jul 24, 2021
- 576
- 1,626
Kati ya wanafunzi waliohitimu Shahada ya Juu ya Elimu ya Sheria kwa Vitendo kutoka Taasisi ya Mafunzo ya Uanasheria kwa Vitendo Tanzania (LST) waliofaulu (first sitting) ni 23, ambapo wanaopaswa kurudia baadhi wa mitihani (Sup) ni 497 na wanaopaswa kurudia mafunzo hayo (Disco) ni 301!
Tofauti ya ufaulu wa mwaka jana na mwaka huu kwa walioweza kupita kwa mara ya kwanza ni moja tu, ambapo mwaka jana walifaulu 22!
Eatv
Hali ilivyokuwa mwaka jana - Matokeo ya Law school of Tanzania, kati ya wanafunzi 500+ walio-clear masomo yote ni 22 tuu!