Safari hii Law School wafaulu 23 tu!

Rare Sapphire

JF-Expert Member
Jul 24, 2021
576
1,626
images - 2023-04-25T183319.202.jpeg

Kati ya wanafunzi waliohitimu Shahada ya Juu ya Elimu ya Sheria kwa Vitendo kutoka Taasisi ya Mafunzo ya Uanasheria kwa Vitendo Tanzania (LST) waliofaulu (first sitting) ni 23, ambapo wanaopaswa kurudia baadhi wa mitihani (Sup) ni 497 na wanaopaswa kurudia mafunzo hayo (Disco) ni 301!

Tofauti ya ufaulu wa mwaka jana na mwaka huu kwa walioweza kupita kwa mara ya kwanza ni moja tu, ambapo mwaka jana walifaulu 22!

Eatv

Hali ilivyokuwa mwaka jana - Matokeo ya Law school of Tanzania, kati ya wanafunzi 500+ walio-clear masomo yote ni 22 tuu!
 
Ila sikuhizi wanafunzi nao wazito mno niliamgalia jinsi mwanasheria lugha yake aliyotumia na kuandaa mashtaka nilichoka, kingereza kibovu mashtaka hayaeleweki na hapo kaajiriwa na serikalini nikasema ndio maana law school Huwa wanafeli Hawa Kwa ukilaza wao
 
LAW SCHOOOL WAFAULU 23

#HABARI Kati ya wanafunzi 821 wa kundi la 34 waliohitimu stashahada ya juu ya elimu ya sheria kwa vitendo kutoka Taasisi ya Mafunzo ya Uanasheria kwa Vitendo Tanzania (LST), waliofaulu mkao wa kwanza (first sitting) ni 23 huku wanaopaswa kurudia baadhi ya mitihani wakiwa 497 na wanaopaswa kurudia kabisa mafunzo hayo ni 301.

Matokeo haya ya mtihani yametolewa wiki iliyopita na hawa ni wale wanafunzi waliojiunga na Law School Januari 2022.
 
Ni kwamba hayo mambo ni magumu sana au ni huko wanakodai ni kupunguzwa ili waendelee kuwa wachache wenye nyadhfa za kada hiyo?,?
 
View attachment 2599573

Kati ya wanafunzi waliohitimu Shahada ya Juu ya Elimu ya Sheria kwa Vitendo kutoka Taasisi ya Mafunzo ya Uanasheria kwa Vitendo Tanzania (LST) waliofaulu (first sitting) ni 23, ambapo wanaopaswa kurudia baadhi wa mitihani (Sup) ni 498 na wanaopaswa kurudia mafunzo hayo (Disco) ni 360!

Tofauti ya ufaulu wa mwaka jana na mwaka huu kwa walioweza kupita kwa mara ya kwanza ni moja tu, ambapo mwaka jana walifaulu 22!

Hali ilivyokuwa mwaka jana - Matokeo ya Law school of Tanzania, kati ya wanafunzi 500+ walio-clear masomo yote ni 22 tuu!
Kiukweli shule zote zilitakiwa kuwa hivi...

Vilio vya ajira visingekuwepo. Nowadays elimu haina thamani sababu kila mtu amesoma na kugraduate.
 
Back
Top Bottom