Ushauri: Law School iwe na mtihani wa kuchuja waombaji

mpimamstaafu

JF-Expert Member
Jul 18, 2018
4,445
4,704
Wadau nawasalimu nyote.

Mimi ni mdau wa Sheria. Nimekuwa nafuatilia sana Shule hii ya Masuala ya Sheria "LAW SCHOOL". Kumekuwa na wimbi kubwa la vijana wanaomaliza mafunzo yao ya sheria katika Vyuo mbalimbali hapa Nchini.

Kwa uzoefu wangu ufundishaji wa Vyuo vingi ni wa kiwango cha chini sana.Na baada ya kuhitimu mafunzo yao Wanavyuo huomba kujiunga na Law School.

Kutokana na matokeo ya Law School kuonyesha kuwa Wanavyuo wengi hushindwa kufaulu mafunzo hayo.

Nashauri Law School iwe na utaratibu wa kuandaa Mtihani kwa waombaji wake ili wasio na uwezo wachujwe mapema kuliko kuendelea na utaratibu wa sasa wa kuwapokea wote walioomba na mwisho kuwa na matokeo ya kutia aibu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hiyo ni sawa na kusema wanafunzi wanaoingia kidato cha kwanza wapewe mtihani ili hali walishafaulu tayari!

Ungeshauri shule ziongezwe ikibidi kila kanda, ningekuelewa zaidi. Kulundika wanafunzi wa nchi nzima eneo moja nalo ni tatizo linalopunguza tija kwenye ufundishaji.
 
I thought you have passed from the school with whatever experience you came out with from there, kumbe ni mdau wa nje. Aisee kazi kweli kweli. Sitapenda kukudharau ila naona ujaelewa mantiki ya Law school inavyo operate na hata elimu ya mahakama Lushoto, mathalani maarifa yako yameishia kiwango hicho, keep it up!
 
Wewe ni mjinga tu na inawezekana una ujinga mwingi kuliko hao wanaofeli huko law school.
 
Wadau nawasalimu nyote.Mimi ni mdau wa Sheria.Nimekuwa nafuatilia sana Shule hii ya Masuala ya Sheria "LAW SCHOOL"Kumekuwa na wimbi kubwa la vijana wanaomaliza mafunzo yao ya sheria katika Vyuo mbalimbali hapa Nchini.Kwa uzoefu wangu ufundishaji wa Vyuo vingi ni wa kiwango cha chini sana.Na baada ya kuhitimu mafunzo yao Wanavyuo huomba kujiunga na Law School.Kutokana na matokeo ya Law School kuonyesha kuwa Wanavyuo wengi hushindwa kufaulu mafunzo hayo.Nashauri Law School iwe na utaratibu wa kuandaa Mtihani kwa waombaji wake ili wasio na uwezo wachujwe mapema kuliko kuendelea na utaratibu wa sasa wa kuwapokea wote walioomba na mwisho kuwa na matokeo ya kutia aibu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Ukichuja watu utapataje hela? Waache wapokee tu, kwani umesikia kufaulu ni lazima? Kulipa ada ndo lazima.
 
Hiyo ni sawa na kusema wanafunzi wanaoingia kidato cha kwanza wapewe mtihani ili hali walishafaulu tayari!

Ungeshauri shule ziongezwe ikibidi kila kanda, ningekuelewa zaidi. Kulundika wanafunzi wa nchi nzima eneo moja nalo ni tatizo linalopunguza tija kwenye ufundishaji.
Acha uchawi. Wawekezaji tunapiga hela ndefu Sinza hapa kutoka kwa hawa mawakili watarajiwa.
 
Back
Top Bottom