Kama umekosa mkopo halafu umepangwa kati ya hvi vyuo IFM,IAA au TIA,nadhani vle vyuo wanafunz wake huwa wanadhaminiwa na wizara ya fedha na uchumi,so ka umepangwa hapo,jaribu kuwasiliana na wahusika ili ujue kama huo utaratibu bado upo au vp!
ok jewale ambao tumekosa
mkopo na tumepangwa MUKO,SUA,UDSM tufanyeje? ama kweli nchi imeuzwa
Kama umekosa mkopo halafu umepangwa kati ya hvi vyuo IFM,IAA au TIA,nadhani vle vyuo wanafunz wake huwa wanadhaminiwa na wizara ya fedha na uchumi,so ka umepangwa hapo,jaribu kuwasiliana na wahusika ili ujue kama huo utaratibu bado upo au vp!