Ushauri kwa waliochaguliwa UDOM

Inaitwa Kisasa primary karibu na kituo kinaitwa meriwa au si Ndo apo au Jonatus
 
Last edited by a moderator:
Aisee unanipa munkari wa UDOM hebu nielezee hata maajabu matatu ya UDOM.

Nitakusaidia haya: Ni chuo ambacho college zake zote 6 zipo chini ya vilele vya milima. Nyakati za mvua mandhari yake inakuwa nzuri kwa sababu ya maeneo college hizo zilivyojengwa....

Ni chuo ambacho huwezi kutembea kwa miguu ukakimaliza iwe kwa College moja ama zote 6.
 
Nitakusaidia haya: Ni chuo ambacho college zake zote 6 zipo chini ya vilele vya milima. Nyakati za mvua mandhari yake inakuwa nzuri kwa sababu ya maeneo college hizo zilivyojengwa....

Ni chuo ambacho huwezi kutembea kwa miguu ukakimaliza iwe kwa College moja ama zote 6.


Wow. .ila leo nimetembea kutoka social science hadi crdb bank kwenda na kurudi ila sio na barabara ni vichochoro
 
Wow. .ila leo nimetembea kutoka social science hadi crdb bank kwenda na kurudi ila sio na barabara ni vichochoro

Hehe! nahic tulikutana vichochoroni somewhere ukaniuliza kama nafaham iliko benk ya CRDB!! kama sio wewe bac samahani!
 
Hehe! nahic tulikutana vichochoroni somewhere ukaniuliza kama nafaham iliko benk ya CRDB!! kama sio wewe bac samahani!

Hahah ebu nipe description yangu physical appearance yangu kama unanikumbuka then ndo nitajua ni mimi au sio mimi
 
Nilishangaa nilivokataliwa kufanya registration kisa bado 500 kwenye tuition fee, nkakimbia haraka crdb
 
Du udom watatuua njaa watoto wa wakulima loan board wametukopesha wao mpaka Leo hawajatupa chetu wanapigia biznes da sijui udoso wako wapi kweli hakuna hapa
 
Salamu mkuu, ebhana kuna kitu sikielewi humu ndani.. Iko hivi.. kila nikileta maada humu jukwaan hazikai kwa muda mrefu zilishapotea, na sio kwamba labda zinakuwa zipo kinyume na terms/conditions hapana. Ukiachana na hilo pia nakuwa nashangazwa na kitu kinachotokea kwenye topic zangu...yaani nakuwa nashangaa kukuta mtu katumia ID yangu na ka-edit title ya topic yangu na ndan kaweka content anayoijua mwenyewe, pia sielewi kwanin kila maada ninayotengeza inashushwa chini kias cha kupotea kwenye first page, ni kip kifanyike ili topic yangu pia ikae on top kama nyingine? Msaada tafadhali!
Ukianzisha uzi (thread) ili iweze kukaa on top inapaswa iwe na wachangiaji wengi wanaochangia mara kwa mara, la sivyo itashuka chini na kusogezwa page zinazofuata, kingine kama kuna nyuzi mpya nyingi basi yako poa itasogezwa ukurasa unaofuatia.
kuhusu kuedit mada zako hapo anaweza kufanya hivyo "moderator", kwa maelezo zaidi ingia kwenye jukwaa la malalamiko na ushauri.
 
Back
Top Bottom