na mapori ya nyumba 300
Joining instruction zinapatkanaje
.Vp kuhusu kukaa hostel adi unamilaza ni kweli? na pia nasikia wanafunz wa udom huwa wanacheleshewa mikopo sanaaaaa! ufafanuz mkuu.
tarehe ya kufungua nikati ya October 12-15 ila maelezo zaidi yatakuwepo kwenye barua ya udahili.kuhusu joining instructions tembelea website ya chuo
ndugu waziri au kwa yyto mwenye kufaham kuhusu second batch vpi?
Ndugu yangu first year karibu sana UDOM, ikiwa kuna jambo unataka kulijua la UDOM kwenye college ya humanities and social science niulize nitakusaidia kwa kukujibu na kukupa ufafanuzi.KARIBU SANA UDOM
vip doctor of madecine apo mkuu.....
ingia www.udom.com utaona kama joining instruction zishatolewa utadownload hapo!!! karibu udom