Ushauri kwa waliochaguliwa UDOM

kwa wale walofanikiwa kujiunga na chuo kikuu cha dodoma (udom) especially college of education kama una swali tupia hapa tukusaidie wenyeji wa ng'ox tupo guyz
 
udom llb law ..umesema kuna dressing code .. fafanua tafadhali ni mavazi ya aina gani ni suti au nguo za bongo fleva ??:llama:
 
nimechaguliwa udom 2015 .. sijui wanafungua lini ... sijui kuhusu accomodation ...sijaweza hata ku download application form maana nikijaribu ku login inakataa msaada RAISI WA CHUO:hail:
 
Naomba unielezee mfumo wa uchaguzi wa serikali ya wanafunzi...je kuna kamati ya ushindi?
 
Mimi ni chadema damu.nackia hicho ni chuo cha CCM a.k.a masokwe.vp ni kweli?
 
naomba kufahamu kuhusu faculty ya educ with ict ikoje?kwan ikifka utachagua somo moja kati ya uliyosoma au hyo education inayozungumziwa ni ya ict pekee.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…