Ushauri kwa waliochaguliwa UDOM

Ushauri kwa waliochaguliwa UDOM

Asante sana ulamaa naomba mtujuze joining zikitoka naomba namba yako please katika pm
 
inavyoonekana uliwah fanya usaf kwenye ofisi za watu ukapata kampuni ya kufanya usafi hongera bhana...

siwez bishana na wewe coz naona tarehe yako ya kujiunga jf hapo huna hata mwez humu ndani halafu na ww unajifanya unabamba! kweli nimeamin wewe ni mwanafunz wa UDOM kama sio mwanafunzi wa MLUGO! #kilaza #
 
kaka mimi chaguo langu lilikuwa Nursing lakini bahati mbaya 1st application nikakosa ikabidi niombe 2nd application ambayo ilikuwa na limit ya course,hivyo nikachagua b.com in marketing na nimepata.Je ninaweza kubadili hiyo course hapo? na qualification za Nursing ninazo
 
Yani kwa ninavyokijua chuo che2 wagum sana kubadilisha kozi hasa kutoka kwe department moja kwenda nyingine!kutoka school of b'ness mpaka school of nursing kazi ipo kuhama!ila unaweza kujarib endapo nafac itakuwepo huko nursing!
 
kaka mimi chaguo langu lilikuwa Nursing lakini bahati mbaya 1st application nikakosa ikabidi niombe 2nd application ambayo ilikuwa na limit ya course,hivyo nikachagua b.com in marketing na nimepata.Je ninaweza kubadili hiyo course hapo? na qualification za Nursing ninazo

Yani kwa ninavyokijua chuo che2 wagum sana kubadilisha kozi hasa kutoka kwe department moja kwenda nyingine!kutoka school of b'ness mpaka school of nursing kazi ipo kuhama!ila unaweza kujarib endapo nafac itakuwepo huko nursing!.
THAT'S TRUE
 
Yani kwa ninavyokijua chuo che2 wagum sana kubadilisha kozi hasa kutoka kwe department moja kwenda nyingine!kutoka school of b'ness mpaka school of nursing kazi ipo kuhama!ila unaweza kujarib endapo nafac itakuwepo huko nursing!.
THAT'S TRUE

Asante kwa maelezo mazuri ndugu
 
Mi nimechaguliwa Bachelor of Arts in Public Administration(BA-PA) vip wahadhiri wapo na soko la ajira lipoje?.
 
vp swala langu la kutokuwepo kwa mwaka wa kihtimu kidato cha 4,...umelipatia ufumbuzu,..samahn kwa usumbfu ndg!!
 
Mi nimechaguliwa Bachelor of Arts in Public Administration(BA-PA) vip wahadhiri wapo na soko la ajira lipoje?.

kuhusu wahadhiri wapo, hiyo program inatolewa kwenye school ya social science, kuhusu ajira jitahidi kufaulu vizur.karibu sana UDOM
 
wanna 1st year wanafungua lini??? alafu join instruction zimetoka????????/

tarehe ya kufungua nikati ya October 12-15 ila maelezo zaidi yatakuwepo kwenye barua ya udahili.kuhusu joining instructions tembelea website ya chuo
 
Back
Top Bottom