paul kitereja
JF-Expert Member
- Jun 15, 2012
- 260
- 45
Ndugu yangu first year karibu sana UDOM, ikiwa kuna jambo unataka kulijua la UDOM kwenye college ya humanities and social science niulize nitakusaidia kwa kukujibu na kukupa ufafanuzi.KARIBU SANA UDOM
waliomaliza hapo mbona wengi sana hawana kaz??