Ushauri kwa waliochaguliwa UDOM

Ushauri kwa waliochaguliwa UDOM

Ndugu yangu first year karibu sana UDOM, ikiwa kuna jambo unataka kulijua la UDOM kwenye college ya humanities and social science niulize nitakusaidia kwa kukujibu na kukupa ufafanuzi.KARIBU SANA UDOM

waliomaliza hapo mbona wengi sana hawana kaz??
 
hoja zote watu wanazotoa mara chuo kiko hivi mara vile ni utoto tu na ulimbukeni wa maskini wa WATANZANIA, mngejua ukweli baada ya kumaliza kozi zenu msingelumbana kisa chuo, hata uende Harvard ukasome B.SC President or B.A Prime Minister huwezi toka chuoni umtoe Kikwete madarakani ama Pinda madarakani, pigeni kelele tuwasubiri miaka mitatu ijayo mtembee na bahasha hadi mkome, viatu ulivyonunua kwa pesa ya boom vikatike sori ndipo tujue ulisoma chuo gani au unajua nani?
 
waliomaliza hapo mbona wengi sana hawana kaz??

Swala la kazi inategeme course uliyosoma kuna course ambazo ukimaliza unaajiriwa moja kwa moja na nyingine ukimaliza ukatafute ajira, kama tujuavyo kutafuta kuna kupata na kukosa, Sio UDOM ni vyuo vyote
 
hoja zote watu wanazotoa mara chuo kiko hivi mara vile ni utoto tu na ulimbukeni wa maskini wa WATANZANIA, mngejua ukweli baada ya kumaliza kozi zenu msingelumbana kisa chuo, hata uende Harvard ukasome B.SC President or B.A Prime Minister huwezi toka chuoni umtoe Kikwete madarakani ama Pinda madarakani, pigeni kelele tuwasubiri miaka mitatu ijayo mtembee na bahasha hadi mkome, viatu ulivyonunua kwa pesa ya boom vikatike sori ndipo tujue ulisoma chuo gani au unajua nani?

Ni kweli ndugu tatizo watu wengi wana mawazo mgando
 
Swala la kazi inategeme course uliyosoma kuna course ambazo ukimaliza unaajiriwa moja kwa moja na nyingine ukimaliza ukatafute ajira, kama tujuavyo kutafuta kuna kupata na kukosa, Sio UDOM ni vyuo vyote

chuo chenu ndo sanah..mimi nina kaka yangu amemaliza hapo udom b.com finance mwaka juz mpaka leo yupo kitaa! acha ubishi..
 
hivi huu ugomvi wa vyuo utaisha lini?yani ka kozi nayotaka kusoma haipo udsm ndo ni c somo chuo kingine au hio kozi niipendayo!kisa ndo chuo bora kwa tz!kozi ya petroleum engineering ina mwaka wa3 sasa udom wakat udsm ndo wanaanza mwaka huu october!hebu tuwe wasomi bac elimu popote!ni wewe tu unavyojituma bwana!
 
kumaliza udom c kigezo cha kukosa ajira!inategemeana na kozi unayoisoma na ucompetent wako pia!c o udom hata aliemaliza udsm mambo ni hivo hivo!kwasasa bongo ajira ngumu kupata ni wewe tu utakavyojiuza vizuri kwe interview bila kusahau undugu na uenyeji
 
cjui kwanin ugomvi wa vyuo upo sana kwa hawa 1st yr wanaosubiri kwenda chuo mwaka huu!we kaa kimya subiri ukaripoti chuo ndo uone mziki wake utakosa mda wa kupost jf
 
Eti ni kweli mabinti hapo wanafanya umalaya eti?am just curious
 
Eti ni kweli mabinti hapo wanafanya umalaya eti?am just curious.na
 
Mi bado sijaona jina langu kwenye kirambaza cha udom na ni kwa sababu hawajweka
mi nina mke na mtoto nahitaji kuishi nje ya chuo nataka kufahamu kuwa vyumba vina bei gani na ni umbali gani kutoka chuo na usafiri ni wa uhakika...
Angalizo natoa mwenye lugha chafu sitomvumilia.
 
Mi bado sijaona jina langu kwenye kirambaza cha udom na ni kwa sababu hawajweka katika airtell yatosha nimeona nimepangwa bed-ict.
mi nina mke na mtoto nahitaji kuishi nje ya chuo nataka kufahamu kuwa vyumba vina bei gani na ni umbali gani kutoka chuo na usafiri ni wa uhakika...
Angalizo natoa mwenye lugha chafu sitomvumilia.
 
Una vithibitisho vya maneno usemayo??
we limbukeni wa vyuo
uache ushamba kabisa soma guidebook ya tcu utaona 2.5 bachelor of art with education slot 800 udsm yako hiyo.
Je sasa hapo unanini cha maana na udsm yako?
,kwani katika eneo lako hakuna kata je unajua udsm ipo kata gani?
Na tutaona kama hutazunguka ofisi za kata kuomba kazi
 
Ndugu yangu first year
karibu sana UDOM, ikiwa kuna jambo unataka kulijua la UDOM kwenye
college ya humanities and social science niulize nitakusaidia kwa
kukujibu na kukupa ufafanuzi.KARIBU SANA UDOM
shukran ndugu,naomba unijuze kuhusu bachelor of Arts in economics and sociology hapo Udom vip ina dili hiyo?na unaweza badili coz ukishareport chuon?
 
shukran ndugu,naomba unijuze kuhusu bachelor of Arts in economics and sociology hapo Udom vip ina dili hiyo?na unaweza badili coz ukishareport chuon?
ukifika chuoni unaweza badili na kuchagua course ingne lakn mpaka Marks ziwe za kutosha kulingana na course husika
 
Mi bado sijaona jina langu kwenye kirambaza cha udom na ni kwa sababu hawajweka katika airtell yatosha nimeona nimepangwa bed-ict.
mi nina mke na mtoto nahitaji kuishi nje ya chuo nataka kufahamu kuwa vyumba vina bei gani na ni umbali gani kutoka chuo na usafiri ni wa uhakika...
Angalizo natoa mwenye lugha chafu sitomvumilia.
kwa COLLEGE of Education vyumba vpo kibao+ msosi wa WAJASI(coz ni mpakani na wanakijiji_) tna bei chee tu,,, ila COLLEGE kma SOCIAL SCENCE and humanities kule ni uzunguni hamna MAGETO
 
Mi bado sijaona jina langu kwenye kirambaza cha udom na ni kwa sababu hawajweka katika airtell yatosha nimeona nimepangwa bed-ict.
mi nina mke na mtoto nahitaji kuishi nje ya chuo nataka kufahamu kuwa vyumba vina bei gani na ni umbali gani kutoka chuo na usafiri ni wa uhakika...
Angalizo natoa mwenye lugha chafu sitomvumilia.

Program yako hiyo inatolewa kwenye college ya education lkn kuhusu vyumba kuna kijiji jirani kinaitwa ng'ong'ona hapo wala uhitaji usafiri ni wewe na miguu yako tu, pia kuna kijiji chengine karibu na mjini kinaitwa makulu mbali kidogo na chuo nauli 400 ila usafiri hausumbui, kuhusu bei ya chumba makadirio sh.15000 Hadi 20000
 
Back
Top Bottom