Ulamaa Hemed
Senior Member
- Sep 21, 2012
- 159
- 16
mbona jina langu limetoka bila mwaka wangu wa kuhitimu fm 4!!! hiyo ni typin' error au vp coz nahofu nicje kosa boom!!
sina uhakika zaidi juu ya swala lako but tuzidi kufuatilia
mbona jina langu limetoka bila mwaka wangu wa kuhitimu fm 4!!! hiyo ni typin' error au vp coz nahofu nicje kosa boom!!
PSPA ndo kozi yangu vp kuhusu wataalam nikimaanisha wahadhiri wapo wa kutosha,.. na je vp kuhusu soko lake la ajira ukiachiliia siasa,..na field huwanyiwa maeneo gani hasa,..samahan kwa ucmbfu !!!!
ikiwa umepata chuo kama equivalent na umeomba mkopo kwa form 6 ipo tamaa ya kupata mkopo?
rekebisha sentensi yako hujaeleweka hapo kwenye TAMAA
tarehe ya kuripoti ni kati ya 12 - 15 october . Ila kwenye barua ya udahili itaandikwa coz huwa zinabadilika. Karibu sana udom
waliomaliza hapo mbona wengi sana hawana kaz??
wawe makini kidogo coz wanaweza kupotea chuon wakati wa kuripoti..kumbe bado tuna watanzania wema, pongezi nyingi kwa ukarimu wa kuwakaribisha first years, maskini wao huwa ni waoga,
kisha swala la kuwapokea limenifurahisha mno mngeandika na namba za simu humu kwa watkaojaaliwa wawapigie kabla wasipate taabu
kumaliza udom c kigezo cha kukosa ajira!inategemeana na kozi unayoisoma na ucompetent wako pia!c o udom hata aliemaliza udsm mambo ni hivo hivo!kwasasa bongo ajira ngumu kupata ni wewe tu utakavyojiuza vizuri kwe interview bila kusahau undugu na uenyeji
naomba ujitahid kaka,kwan nikipgqa simu tcu haipokelewi nimejaribu ya udom vivy hivyo so sielewi mstakabali wa hilo swala niko njia pand!!sina uhakika zaidi juu ya swala lako but tuzidi kufuatilia
Kozi gani izo ukmaliza unajiriwa moja
Kwa moja
kumbe we ndo mwajiri nilikuwa sijui vp una kampuni ngapi sasa? maana inaonekana umeajiri wengi tu kasoro wa UDOM au?
we ndio kilaza wa ku2pwa,,unataka kusema udsm hawachukui hadi point 2.5,,,tena mwaka huu kwa taaeifa yako wapo hadi wenye point 2.0 angalia computer science,,co unajisemea 2,,,chuo cha kata kwa7bu waliokuja hapo n wnye cut off point 2.5 kwann ucsome udsm na mataw yake coz n cha kwanza tz na cha 4 afr
Vp kuna sehem ya gym karibu na chuo
Nimechaguliwa coz ya education in adult education and comunity development imekaaje hapo mkubwa kuhusu location na maisha kwa ujumla around
Ndugu yangu first year karibu sana UDOM, ikiwa kuna jambo unataka kulijua la UDOM kwenye college ya humanities and social science niulize nitakusaidia kwa kukujibu na kukupa ufafanuzi.KARIBU SANA UDOM