Ushauri kwa waliochaguliwa UDOM

Ushauri kwa waliochaguliwa UDOM

kumbe bado tuna watanzania wema, pongezi nyingi kwa ukarimu wa kuwakaribisha first years, maskini wao huwa ni waoga,
kisha swala la kuwapokea limenifurahisha mno mngeandika na namba za simu humu kwa watkaojaaliwa wawapigie kabla wasipate taabu
 
kumbe bado tuna watanzania wema, pongezi nyingi kwa ukarimu wa kuwakaribisha first years, maskini wao huwa ni waoga,
kisha swala la kuwapokea limenifurahisha mno mngeandika na namba za simu humu kwa watkaojaaliwa wawapigie kabla wasipate taabu

tatizo kuna wengine sio wastaarabu lkn watu wengi waliniomba kupitia private message nimewapa
 
shukran ndugu,naomba unijuze kuhusu bachelor of Arts in economics and sociology hapo Udom vip ina dili hiyo?na unaweza badili coz ukishareport chuon?

swala na kubadili course huwa linasumbua sana ila ukibahatika unaweza ila jitahidi kuwahi mapema, kuhusu dili course nyingi sana zina kazi baada ya masomo lamsingi jitahidi ufaulu vizur, sio upate GPA 2.5
 
we limbukeni wa vyuo
uache ushamba kabisa soma guidebook ya tcu utaona 2.5 bachelor of art with education slot 800 udsm yako hiyo.
Je sasa hapo unanini cha maana na udsm yako?
,kwani katika eneo lako hakuna kata je unajua udsm ipo kata gani?
Na tutaona kama hutazunguka ofisi za kata kuomba kazi

Ndugu yangu NingaR achana nao hao hawajielewi msomi hawezi kukashifu sehemu inayotolewa elimu hata paweje
 
hivi huu ugomvi wa vyuo utaisha lini?yani ka kozi nayotaka kusoma haipo udsm ndo ni c somo chuo kingine au hio kozi niipendayo!kisa ndo chuo bora kwa tz!kozi ya petroleum engineering ina mwaka wa3 sasa udom wakat udsm ndo wanaanza mwaka huu october!hebu tuwe wasomi bac elimu popote!ni wewe tu unavyojituma bwana!

tatizo uelewa wao mdogo
 
Mier bro vp udongo wa maka n club karibu na chuo uxsahau kuhusu sport pleaz nijuze
 
vp kuhusu koz ya bed policy planning and management nimeona 2mechaguliwa kama 50 na kitu vp soko lake likoje wangu
 
Mier bro vp udongo wa maka n club karibu na chuo uxsahau kuhusu sport pleaz nijuze

hakuna club karibu ya chuo Hadi mjini,kuhusu sports viwanja vya michezo tele, kuhusu udogo wa maka its still loading.........
 
vp kuhusu koz ya bed policy planning and management nimeona 2mechaguliwa kama 50 na kitu vp soko lake likoje wangu

Hiyo course inatolewa college ya education kuhusu idadi ya wanafunzi usikhofu kama unahisi ni wengi BAED wa mwaka Jana walikuwa 300 na kadhaa nakama unahisi ni wachache BA Korea wa mwaka Jana wapo watano.kuhusu ajira endoa Shaka sababu course hiyo unafanya kazi sehemu nyingi km inavyojieleza. karibu sana UDOM
 
kumbe bado tuna watanzania wema, pongezi nyingi kwa ukarimu wa kuwakaribisha first years, maskini wao huwa ni waoga,
kisha swala la kuwapokea limenifurahisha mno mngeandika na namba za simu humu kwa watkaojaaliwa wawapigie kabla wasipate taabu

kweli kabisa mkuu mungu ambariki anapoendelea kutukaribisha
 
PSPA ndo kozi yangu vp kuhusu wataalam nikimaanisha wahadhiri wapo wa kutosha,.. na je vp kuhusu soko lake la ajira ukiachiliia siasa,..na field huwanyiwa maeneo gani hasa,..samahan kwa ucmbfu !!!!
 
mbona jina langu limetoka bila mwaka wangu wa kuhitimu fm 4!!! hiyo ni typin' error au vp coz nahofu nicje kosa boom!!
 
Back
Top Bottom