Ushauri kwa waliochaguliwa UDOM

Ushauri kwa waliochaguliwa UDOM

Hivi una weza kubadili kozi? Na vip suala la mkopo utaendelea kupata kama mwanzo au ina kuwa aje hapo.
 
Idiot .... Palitakiwa Kuwa na page ya mbulula's nimeshawasoma .... Ni wengi dod ...................



Ndugu yangu first year karibu sana UDOM, ikiwa kuna jambo unataka kulijua la UDOM kwenye college ya humanities and social science niulize nitakusaidia kwa kukujibu na kukupa ufafanuzi.KARIBU SANA UDOM
 
Eti unaweza kubadilisha facalty...

Huendi kusoma FACULTY bali course au Degree Programme, Kubadilisha inawezekana ila tu kama unakidhi vigezo vya course unayotaka kuhamia na kwa vyuo vingi hili hufanyika ndani ya majuma mawili ya mwanzo wa mwaka wa masomo...
 
Eti unaweza kubadilisha facalty...

zamani ilikuwa nirahisi kubadilisha lakini kwasasa huwa wanakataa coz watu wengi wanataka kubadili,labda usiwe na sifa za kusoma hiyo program ulioa chaguliwa hapo unaweza badili
 
Duu! Nilichofikilia baada ya kuiona heading sio kilichomo humu.
Hiv thithi ni wale wenye elimu halafu hatujaelimika eeee!?
Ualimu wa shule ya msingi haumaanish mtu kafeli ni kazi kama kaz nyengine wasomi mliomo humu wasaidie na wasomi wengine waweze kuelimika juu ya hili.

Nimeianzisha hii thread kwa lengo zuri but kuna watu kazi yao ni kuharibu mambo tu, ila nashangaa sana kuona kuna wasomi wasio elimika
 
rekebisha heading ako umesema udom yote while kwenye maelezo unasema humanities and social science ulamaa gani huko,je wale wa udaktari,wahandisi nk si watakua wamepitia kwenye uzi wako huu kua makini unapoandika usiwe msomi uchwara.
 
nimepangwa hapo BBA evening programe nijuze utaratibu wa masomo haya upoje hapo hasa muda wa vipindi na hostel kama zipo.

kwa ufupi vipindi vinategemea na ratiba ya mwaka husika na kuhusu hostel ondoa Shaka UDOM haina shida ya hostels hata kidogo majengo mengi sana mfano School ya humanities ina majengo 19 ya hostel kila moja linaghorofa tatu kila moja moja linauweza kuchukua zaidi ya watu 400 Mpk mwaka Jana majengo nane hayakuwa na watu kabisa na haya 11 mengi yalikuwa yameishia first floor
 
rekebisha heading ako umesema udom yote while kwenye maelezo unasema humanities and social science ulamaa gani huko,je wale wa udaktari,wahandisi nk si watakua wamepitia kwenye uzi wako huu kua makini unapoandika usiwe msomi uchwara.

Ushauri wako ulikuwa ni mzuri sana lakini umeuharibu kwa kuingiza kashfa, but usjali (muungwana akivuliwa nguo huchutama). karibu kama unaswali uliza nikusaidie
 
Ushauri wako ulikuwa ni mzuri sana lakini umeuharibu kwa kuingiza kashfa, but usjali (muungwana akivuliwa nguo huchutama). karibu kama unaswali uliza nikusaidie

sina swali lolote ni kuwekana sawa mkuu but generally kazi yako nzuri endelea kutoa orientation kwa wadogo zetu.
 
Ndugu zangu,hivi ni kwa nini mtu wa UDOM akipondwa,na yeye hulipiza kwa kuiponda UDSM hata kama hajapondwa na mtu wa UDSM?WHY ALWAYS UD?

Si unajua,mti wenye matunda ndiyo unapigwa mawe.
Hakuna ubishi,UDSM ni chuo bora.
 
Hiv first year wanasumbua sana humu. Kama vip admn awaanzishie page yao bhan..
 
Back
Top Bottom