Duu! Nilichofikilia baada ya kuiona heading sio kilichomo humu.
Hiv thithi ni wale wenye elimu halafu hatujaelimika eeee!?
Ualimu wa shule ya msingi haumaanish mtu kafeli ni kazi kama kaz nyengine wasomi mliomo humu wasaidie na wasomi wengine waweze kuelimika juu ya hili.