Ushauri kwa waliochaguliwa UDOM


we ndo hujaelimika na aliyeweka 3d hii kwasababu hakuna ofisho aplikanti selected tu Udom
 
Vjana scholars huwa hawaongei rumaz wanaongea facts asa nyie mnaosema et naskia udom kuna hiki mara kuna kile hzo ndo rumaz na intellectual haongei wala kuandika gossips aisee kama we first year uskurupukie kudakia vtu usivyo na fact navyo utaumbuka afu kama we ni scholar hebu kumbuka uliyofundshwa chuon kwenu au hamkufundishwa scholar anapaswa aweje? Kama hamkufundshwa haya ss mnaosema wa chuo cha kata tumefundshwa na ndo mana haturopok hovyo humu . Hebu mjipangeeeee
 
Vjana scholars huwa hawaongei rumaz wanaongea facts asa nyie mnaosema et naskia udom kuna hiki mara kuna kile hzo ndo rumaz na intellectual haongei wala kuandika gossips aisee kama we first year uskurupukie kudakia vtu usivyo na fact navyo utaumbuka afu kama we ni scholar hebu kumbuka uliyofundshwa chuon kwenu au hamkufundishwa scholar anapaswa aweje? Kama hamkufundshwa haya ss mnaosema wa chuo cha kata tumefundshwa na ndo mana haturopok hovyo humu . Hebu mjipangeeeee
 
Ndo yeye haswa.., alitolewa Mlimani akaja DUCE tukapiga nae kazi hapa baadae akahami UDOM nadhani ndo principal wa college of Education pale..

Asante sana BabaV prof Kabig ni mwalimu wangu tokea undergraduate hadi masters pale zoology! nitamtembelea pande za huko!
 
ndugu kuna utofauti gani kati ya hii koz:Bcs of education in science ya UDOM na Bsc of science in education zilizopo vyuo vingine.
 
Kitimoto(nguruwe) inapatikana wapi? Na swimming pool ipo kwel?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…