Ushauri kwa waliochaguliwa UDOM

Ushauri kwa waliochaguliwa UDOM

Mkuu sor naweza pata hapo cz first choice yangu niliweka udom ktk fucult of education in udult
 
Mkuu sor naweza pata hapo cz first choice yangu niliweka udom ktk fucult of education in udult

hiyo degree program IPO inatolewa kwenye college ya Education, nadhani utakuwa umekusudia BED ADEC kama sijakosea, lakini field huwa wanafanyia secondary kama BAED. jiandae tu kwa theory za Skinner, Pavlov, Bruner na wengine kibaaao
 
hahaha kwanza huwez kuulizwa swal manake najua hakuna mtu alie faulu vizur na mwenye akili timamu atakubali kusoma udom hapo watu wanakuja manake hawana pengine pa kwenda so kila aliepata udom ana mauchungu yake

sidhani kama umeshafika chuo kikuu wewe utakuwa ulipata division zombie. Nimemaliza udom mwaka huu kwa sasa nipo CRDB USA river branch arusha tena sio temporary nimeajiliwa pale wakati hata cheti cha chuo hakijatoka, nimewapa provisional results zangu nikaitwa kwenye usahili na sasa ni mwajiliwa. Hebu tujuze wewe uko wapi na umemaliza chuo gani.
 
sidhani kama umeshafika chuo kikuu wewe utakuwa ulipata division zombie. Nimemaliza udom mwaka huu kwa sasa nipo CRDB USA river branch arusha tena sio temporary nimeajiliwa pale wakati hata cheti cha chuo hakijatoka, nimewapa provisional results zangu nikaitwa kwenye usahili na sasa ni mwajiliwa. Hebu tujuze wewe uko wapi na umemaliza chuo gani.

tatizo wana akili zakushikiwa usishangae hata chuo hajafika labda ndio kachaguliwa juzi
 
chuo cha kata kwa7bu waliokuja hapo n wnye cut off point 2.5 kwann ucsome udsm na mataw yake coz n cha kwanza tz na cha 4 afr

wewe ni -------- tena jinga kabisa mimi nilikua nina poit 9 nikachaguliwa udom sasa wewe kuchaguliwa Mkwawa na hivyo vipoit vyako vitano unavimba kichwa subiri Suplimentary za kutosha ----- wewe
 
wewe ni -------- tena jinga kabisa mimi nilikua nina poit 9 nikachaguliwa udom sasa wewe kuchaguliwa Mkwawa na hivyo vipoit vyako vitano unavimba kichwa subiri Suplimentary za kutosha ----- wewe

Mkuu achana nae huyo anajifariji tu... Fungu la kukosa
 
wewe ni -------- tena jinga kabisa mimi nilikua nina poit 9 nikachaguliwa udom sasa wewe kuchaguliwa Mkwawa na hivyo vipoit vyako vitano unavimba kichwa subiri Suplimentary za kutosha ----- wewe

achana nae kapoteza muelekeo huyo usishangae siajabu hata form 4 kafeli
 
Hatufanyi malumbano ya vyuo hapa jaribu kuwa mstaarabu ndugu

Acheni malumbano ya vyuo nyie,mbona hamjielewi kabisa chuo hakimbebi mtu hata siku moja mm nimesoma mzumbe secondary ambayo wengine wasio na uelewa walikuwa wanasherekea kuchaguliwa shule yenye jina kubwa wakasahau kujibidisha ktk masoma leo hii hata ualimu wa shule ya msingi hawana,nimesoma UDOM pia nikajidisha nikaiva vzuri na nilipo itwa kwenye interview ya kwanza bahati nzuri udom tulikuwa wawili tu then cha kwanza ilikuwa Excel written then Practical ktk Excel baada ya hapo ndio oral lakini cha ajabu mwanafunzi wa UDSM the great University according to mtazamo wenu walikuwa hawawezi wala kuona hiyo program ktk computer iko wapi na Mpaka sasa tupo wanafunzi wa UDOM tu ktk hii Bank labda nikwamie kabisa mm nilisoma Project Planning & Management na Mshikaji wangu ndo B.com Acc yuko Morogoro mpaka sasa mm niko Mbeya Branch,kumbuka kinachozingatiwa ni competency na sio chuo ulichosoma kwani chuo hakina tija yoyote kwa Mwajiri,yy anachoangalia ni Productivity ya worker tu

Km hamuamini ulizia Hrs ktk taasisi nyingi watakuambia uhalisia ukoje, Ushauri wangu soma uwe competent enough and not otherwise utakifika mtaani utaanza kuficha hilo jina la chuo
 
Mkuu BabaV unamaanisha amsalimie Prof J.D.L Kabigumila ua Kabigumila yupi? kama ni J.D.L aliyekuwa pale Zoology UDSM ameenda UDOM kufanyani?

Ndo yeye haswa.., alitolewa Mlimani akaja DUCE tukapiga nae kazi hapa baadae akahami UDOM nadhani ndo principal wa college of Education pale..
 
we na ww ni yaleyale matope,,we unadhani kusoma udsm ndo nn labda,,we unadhani wote wanaoenda soma udsm cut off pt zao kubwa na wote wanaosoma udom cut off pt zao ndogo,,kpapa ww,,co unasema 2 v2 ucivokua na proof[/QUOTE
Ud sayansi weng cutoff point ni mbili,udom 2.5
 
Ndugu zangu,hivi ni kwa nini mtu wa UDOM akipondwa,na yeye hulipiza kwa kuiponda UDSM hata kama hajapondwa na mtu wa UDSM?WHY ALWAYS UD?
 
naomba unipe clue kuhusu bachelor of science in telecommunication bro...inaendaje hapo chuoni?
 
nimepangwa hapo BBA evening programe nijuze utaratibu wa masomo haya upoje hapo hasa muda wa vipindi na hostel kama zipo.
 
Duu! Nilichofikilia baada ya kuiona heading sio kilichomo humu.
Hiv thithi ni wale wenye elimu halafu hatujaelimika eeee!?
Ualimu wa shule ya msingi haumaanish mtu kafeli ni kazi kama kaz nyengine wasomi mliomo humu wasaidie na wasomi wengine waweze kuelimika juu ya hili.
 
Back
Top Bottom