The only
JF-Expert Member
- May 19, 2011
- 10,433
- 13,417
Kwanza kabisa nianze kwa kuwapongeza kwa huduma ya penzi lenu mwanana hakika mna mahala penu mbinguni.
Ushauri niliowaitia hapa ni kuwa dada zangu mnajisahau sana:
1. Unapokuwa mchepuko tambua kuwa wewe ni wa mda mfupi kwa msela, hivyo kaa kijanja ,uwezekano wa mchepuko kuzidi miaka mitano huwa mdogo, dada mtumie huyo kujijenga kiuchumi au kimaarifa ukiwa naye, mdada anakusimulia et jamaa ananipa laki 5 za matumizi kila mwezi siwezi muacha, mimi nilidhani uje na mikakati ya kuhakikisha unaweza kuishi bila yeye, yaani save fikilia biashara hizo laki tano ukiingiza kila mwezi laki 3 kwenye duka lako la nguo baada ya 3yrs siku anaondoka unaenda kulilia hotel Zanzibar.
2. Ukiona anakupa thamani kuliko mkewe basi dada jua unadate na muhuni, mama hata akikuoa ww atathamini wengine, hebu epuka dhambi zisizo na lazima plz kuwa mwanamke mwema kataa hizo mambo kumfungia mme wa mtu weekend nzima ni raha kwako ila dada kuna maisha baada ya kufa, amekupenda msaidie akili yako maana yake hana.
3. Usiache kuyapangilia maisha yako nje ya mume wa mtu, waza utaolewa na nani unataka nini kwenye maisha na ujue yeye hayupo kwenye maisha yako ni rafiki tu wa faida
KWANINI NIMEPANIC KUSHAURI?
Mimi mme wa mtu na watoto 3 na naipenda familia yangu kuzidi chochote, katika miaka 12 ya ndoa hii nimebadili michepuko 6 ila mke ni huyu huyu, maishani nimejaliwa kupata michepuko smart yote hakuna asinipigia simu na kunimisi wawili leo ni wake za watu na wanahela kunizidi na mm wanakiri ndo nimewaonesha njia.
Haba juzi kati nlipata ka-single mother nikakaelewa kukala mala mbili tatu nikaomba nijue maisha yake, ni kwamba msela alimzalisha kwa kuzuga anatoa mahali alitoa hadi uchumba akatoka nduki, dada kapanga uswaz ana binti wa miaka 7, basi nikamueleza mm nataka awe mchepuko wangu ila sitaki uzazi nataka tustarehe ila in return nitajenga maisha yake, nikamtoa chumba cha Tshs 25 uswazi huko nikamhamishia eneo nikalipa Tshs 60 miez 6, kwa kuwa alikuwa anafanya mgahawa ni nkamwambia tafuta eneo nikuwekee kabiashara akapata frame nkalipa ths 300k miez 3 na cash700 afungue nkamuahidi kadili tukijaaliwa nataka auze vinywaji etc nshaongea na msela wangu wa mafriji akanambia tafuta rejeta laki kava atampa shemu wake bure.
Cha ajabu? Dada amehamia kuniganda simu hapa na hapa, juzi kaniibukia baa et toyo wamesema wameniona na mtu, nkamwambia mm mbona sijamkataza akipata mtu wa maana wadumu sina FUTURE naye ikawa valangati, anatuma SMS ooh luku imeisha luku yake mwezi 7000 mtu anauza hadi laki, yaani kifupi hana lengo la kujitegemea ili aamue anidate kwa kunipendea hela au independent.
HITIMISHO
Michepuko tunawapenda sana lakini mnapaswa mjue nafasi yenu, hakuna mwanaume anachaguliwa mchepuko, unampenda mwenyewe ukiondoa penzi na support ya kukufanya ujitegemee huna urithi, hata ukisema tuzae unambania mwanao nafasi ya kufurahia penzi la baba kama nalowapa wana wamke wangu halali, MJITAMBUE.
Ushauri niliowaitia hapa ni kuwa dada zangu mnajisahau sana:
1. Unapokuwa mchepuko tambua kuwa wewe ni wa mda mfupi kwa msela, hivyo kaa kijanja ,uwezekano wa mchepuko kuzidi miaka mitano huwa mdogo, dada mtumie huyo kujijenga kiuchumi au kimaarifa ukiwa naye, mdada anakusimulia et jamaa ananipa laki 5 za matumizi kila mwezi siwezi muacha, mimi nilidhani uje na mikakati ya kuhakikisha unaweza kuishi bila yeye, yaani save fikilia biashara hizo laki tano ukiingiza kila mwezi laki 3 kwenye duka lako la nguo baada ya 3yrs siku anaondoka unaenda kulilia hotel Zanzibar.
2. Ukiona anakupa thamani kuliko mkewe basi dada jua unadate na muhuni, mama hata akikuoa ww atathamini wengine, hebu epuka dhambi zisizo na lazima plz kuwa mwanamke mwema kataa hizo mambo kumfungia mme wa mtu weekend nzima ni raha kwako ila dada kuna maisha baada ya kufa, amekupenda msaidie akili yako maana yake hana.
3. Usiache kuyapangilia maisha yako nje ya mume wa mtu, waza utaolewa na nani unataka nini kwenye maisha na ujue yeye hayupo kwenye maisha yako ni rafiki tu wa faida
KWANINI NIMEPANIC KUSHAURI?
Mimi mme wa mtu na watoto 3 na naipenda familia yangu kuzidi chochote, katika miaka 12 ya ndoa hii nimebadili michepuko 6 ila mke ni huyu huyu, maishani nimejaliwa kupata michepuko smart yote hakuna asinipigia simu na kunimisi wawili leo ni wake za watu na wanahela kunizidi na mm wanakiri ndo nimewaonesha njia.
Haba juzi kati nlipata ka-single mother nikakaelewa kukala mala mbili tatu nikaomba nijue maisha yake, ni kwamba msela alimzalisha kwa kuzuga anatoa mahali alitoa hadi uchumba akatoka nduki, dada kapanga uswaz ana binti wa miaka 7, basi nikamueleza mm nataka awe mchepuko wangu ila sitaki uzazi nataka tustarehe ila in return nitajenga maisha yake, nikamtoa chumba cha Tshs 25 uswazi huko nikamhamishia eneo nikalipa Tshs 60 miez 6, kwa kuwa alikuwa anafanya mgahawa ni nkamwambia tafuta eneo nikuwekee kabiashara akapata frame nkalipa ths 300k miez 3 na cash700 afungue nkamuahidi kadili tukijaaliwa nataka auze vinywaji etc nshaongea na msela wangu wa mafriji akanambia tafuta rejeta laki kava atampa shemu wake bure.
Cha ajabu? Dada amehamia kuniganda simu hapa na hapa, juzi kaniibukia baa et toyo wamesema wameniona na mtu, nkamwambia mm mbona sijamkataza akipata mtu wa maana wadumu sina FUTURE naye ikawa valangati, anatuma SMS ooh luku imeisha luku yake mwezi 7000 mtu anauza hadi laki, yaani kifupi hana lengo la kujitegemea ili aamue anidate kwa kunipendea hela au independent.
HITIMISHO
Michepuko tunawapenda sana lakini mnapaswa mjue nafasi yenu, hakuna mwanaume anachaguliwa mchepuko, unampenda mwenyewe ukiondoa penzi na support ya kukufanya ujitegemee huna urithi, hata ukisema tuzae unambania mwanao nafasi ya kufurahia penzi la baba kama nalowapa wana wamke wangu halali, MJITAMBUE.