JembePoli
JF-Expert Member
- Jul 14, 2015
- 1,324
- 999
Habari mbaya kwa single mothers hii
Lakini ni habari njema kwa wazee wa kuchovya chovya
Habari mbaya kwa single mothers hii
Sikubaliani na hoja zako kabisa hapo,wanawake wasumbufu sana kwenye ndoa ni hao hao watoto ambao hawajazaa hata mtoto mmoja,migogoro ya ndoa haijalishi umemuowa nani, kuna mengi sana ambayo yanasababisha hizo vurugu kwenye wala sio sababu wanawake waliokwishazaa,
jaribu kufanya research kidogo tazama ndoa za wanawake waliokwisha olewa na wale ambao ndio kwanza wameolewa ndoa za kwanza utakuja na majibu tofauti na uzi wako hapa,
wanawake walikwishazaa wakaolewa mara ya 2 ni watulivu kwenye ndoa na wanaheshima kuzidi hao wapya
we utakuwa unaishi angani si duniani.
je kama huyo aliyezaa naye alishafariki bado hizi factors zako zitakuwa valid?lakini usikariri mambo,usemi wako ni sawa na mtu anayesema kama mwanamke hana bikra hafai kuoa,je uliyemuoa wewe ni bikra ?
Sikubaliani na hoja zako kabisa hapo,wanawake wasumbufu sana kwenye ndoa ni hao hao watoto ambao hawajazaa hata mtoto mmoja,migogoro ya ndoa haijalishi umemuowa nani, kuna mengi sana ambayo yanasababisha hizo vurugu kwenye wala sio sababu wanawake waliokwishazaa,
jaribu kufanya research kidogo tazama ndoa za wanawake waliokwisha olewa na wale ambao ndio kwanza wameolewa ndoa za kwanza utakuja na majibu tofauti na uzi wako hapa,
wanawake walikwishazaa wakaolewa mara ya 2 ni watulivu kwenye ndoa na wanaheshima kuzidi hao wapya
Mm na baba mtoto mapenz yameisha
Ngoja waje waseme ukweli kwanini wanaendelea
ndoa zote hizo nimepitia nina uzoefu wa kutosha kwa hilo
Nimecheka sana,anajipa moyo,anaishi sayari ya Pluto