Tanzania ni nchi yenye vijana wengi na wengi wa hawa madogo wanakaa na kusubiri serikali kuwaletea ajira. Mimi kama diaspora nawashauri mchangamke hasa kwa wale vijana wenye elimu kama wenzetu wa Kenya kwa mifano hii hapa
1. Kwanza kwa sasa unaweza kufanya kazi nchi nyingine ukiwa Tanzania ilimradi tu uwe na mtandao wa uhakika mfano kuna kazi kibao zinafanywa nchini India, Malaysia ambazo ni za nchi nyingine hasa kwenye science, engineering na accounting.
2. Wakenya wanapata kazi za Nurse nchi za nje na wanalipwa $50,000 mpaka $80,000 wanaenda kwa mikataba na wanafanya mitihani. Hatuoni Watanzania ni wakenya ndiyo wamejaa huko!
3. Kuna kazi za kwenye meli za utalii cruises 🚢 nimeona kuna wakenya wanaenda huko Miami kufanya kazi kutokea kenya sijasikia mtanzania
Badala ya kushinda kwenye mitandao kujadili umbeya wa wasanii jitafutieni kazi za kusaidia familia zenu. Acheni kulalamika sisi miaka ya 90’s tulikuwa na vyuo vichache zaidi na mitandao haikuwepo lakini tulitafuta njia za kupata vyuo na kwenda nje badala ya kukaa na kulalamika kila siku. Msitegemee serikali itawalisha. Vilevile fikirieni biashara za kilimo kabla ardhi haijaisha mkijopanga mnaanza kidogo na hivyo hivyo mnakuwa kibiashara. Mfano mnaweza kuweka group yenu mmoja akaenda kenya ambao hakuna visa mmoja wenu akapata sehemu ya kuuza mazao na wengine kupeleka kule na hivyo kukata madalali na kupata faida kubwa sana. Inabidi hivi vitu utafute mwenyewe na kujituma na sio kusubiria kila kitu kuambiwa.
1. Kwanza kwa sasa unaweza kufanya kazi nchi nyingine ukiwa Tanzania ilimradi tu uwe na mtandao wa uhakika mfano kuna kazi kibao zinafanywa nchini India, Malaysia ambazo ni za nchi nyingine hasa kwenye science, engineering na accounting.
2. Wakenya wanapata kazi za Nurse nchi za nje na wanalipwa $50,000 mpaka $80,000 wanaenda kwa mikataba na wanafanya mitihani. Hatuoni Watanzania ni wakenya ndiyo wamejaa huko!
3. Kuna kazi za kwenye meli za utalii cruises 🚢 nimeona kuna wakenya wanaenda huko Miami kufanya kazi kutokea kenya sijasikia mtanzania
Badala ya kushinda kwenye mitandao kujadili umbeya wa wasanii jitafutieni kazi za kusaidia familia zenu. Acheni kulalamika sisi miaka ya 90’s tulikuwa na vyuo vichache zaidi na mitandao haikuwepo lakini tulitafuta njia za kupata vyuo na kwenda nje badala ya kukaa na kulalamika kila siku. Msitegemee serikali itawalisha. Vilevile fikirieni biashara za kilimo kabla ardhi haijaisha mkijopanga mnaanza kidogo na hivyo hivyo mnakuwa kibiashara. Mfano mnaweza kuweka group yenu mmoja akaenda kenya ambao hakuna visa mmoja wenu akapata sehemu ya kuuza mazao na wengine kupeleka kule na hivyo kukata madalali na kupata faida kubwa sana. Inabidi hivi vitu utafute mwenyewe na kujituma na sio kusubiria kila kitu kuambiwa.