Ushauri kwa Sports Arena ya Wasafi FM

jelk85

Member
Aug 14, 2013
13
24
Habari Wadau,

Mimi ni mfatiliaji mkubwa sana wa Sports Arena. Ninaamini ni kipindi kuzuri sana cha michezo na kina wachambuzi wazuri sana kama kina George Ambangile, Edo Kumwembe. Tatizo liko kwenye watangazaji wao wakiongozwa na Maulid Kitenge na Yusuf Mkule:

1. Kuwa Biased
Wako biased sana na hawajifichi, mfano kukiwa na habari nzuri ya Simba huwa haiongelewi ama itaweka kama trivial ila kukiwa na habari yenye kuleta taharuki ama uchochezi basi hiyo ndio ita headline discussion yao.

2. Watangazaji ni kama hawako serious na kazi yao:
Mara kadhaa unakuta mtangazaji ana report mechi zilizopita, lakini hajui nani na nani walikutana, au mchezaji gani alifunga goli. Wakati mwingine, hata hawajui fixture za ligi, mfano leo asubuhi, Maulid bila aibu ameonesha kutojua fixture list za Simba akisema mechi yao inayofuata ni ya Yanga, wakati kesho wana mechi na Mbeya City, mpaka Nazir Khalfani alipomkosoa.

3. Matangazo mengi/ Wageni wengi bila mpango
Hapa sitaki kuwalaumu sana maana ndio maslahi yao yanapopatikana ila tatizo too much of everything is harmful. Unakuta kipindi tangu kinaanza ni matangazo tu, habari ya kwanza inakuja kusomwa baada ya dk 10 hadi 15. La pili ni hili la kuwa na wageni wasio na mpango, unakuta watu wanakuja kuzungumizia sijui jogging, who gives a f!ck. Nadhani unapofanya vipindi ni vizuri kuangalia audience (walaji) wanataka nini, I believe I speak for most us nikiomba wageni wasio wa ulazima, wasipewe airtime.

Naamini hayo machache yakifanyiwa kazi, kipindi kitaimarika zaidi.

Nawasilisha!
 
well said man. Hawako serious na kazi. Hawajiandai vya kutosha kabla ya kuingia kwenye kipindi.
Kabisa, yaani wanaichukulia poa sana kazi yao. Hasa hasa Kitenge, unaona kabisa ni kama mtu aliyekurupuka tu akaenda kazini. A professional journalist, anatakiwa kufanya research ya kile anacho report. Yeye ndio anatakiwa kuwa reliable source of information kwa wasikilizaji
 
Habari Wadau,

Mimi ni mfatiliaji mkubwa sana wa Sports Arena. Ninaamini ni kipindi kuzuri sana cha michezo na kina wachambuzi wazuri sana kama kina George Ambangile, Edo Kumwembe. Tatizo liko kwenye watangazaji wao wakiongozwa na Maulid Kitenge na Yusuf Mkule:

1. Kuwa Biased
Wako biased sana na hawajifichi, mfano kukiwa na habari nzuri ya Simba huwa haiongelewi ama itaweka kama trivial ila kukiwa na habari yenye kuleta taharuki ama uchochezi basi hiyo ndio ita headline discussion yao.

2. Watangazaji ni kama hawako serious na kazi yao:
Mara kadhaa unakuta mtangazaji ana report mechi zilizopita, lakini hajui nani na nani walikutana, au mchezaji gani alifunga goli. Wakati mwingine, hata hawajui fixture za ligi, mfano leo asubuhi, Maulid bila aibu ameonesha kutojua fixture list za Simba akisema mechi yao inayofuata ni ya Yanga, wakati kesho wana mechi na Mbeya City, mpaka Nazir Khalfani alipomkosoa.

3. Matangazo mengi/ Wageni wengi bila mpango
Hapa sitaki kuwalaumu sana maana ndio maslahi yao yanapopatikana ila tatizo too much of everything is harmful. Unakuta kipindi tangu kinaanza ni matangazo tu, habari ya kwanza inakuja kusomwa baada ya dk 10 hadi 15. La pili ni hili la kuwa na wageni wasio na mpango, unakuta watu wanakuja kuzungumizia sijui jogging, who gives a f!ck. Nadhani unapofanya vipindi ni vizuri kuangalia audience (walaji) wanataka nini, I believe I speak for most us nikiomba wageni wasio wa ulazima, wasipewe airtime.

Naamini hayo machache yakifanyiwa kazi, kipindi kitaimarika zaidi.

Nawasilisha!
Mimi shida yangu kubwa hasa na hii technology za siku hizi wanakuwa live kupitia youtube tatizo hakuna weledi wako kazini studio mtu anaongea wao wengine wako busy na simu hawako kabisa unaweza kuona jambo la kawaida lakini ukiwa live na sio radio tu ni lazima muoneshe weledi simu pembeni hasa wakati wa kazi mimi sijawahi kuone wenzetu huko majuu au hata hapo kenya tu watu wako live halafu kila mtu yuko busy na simu hii tabia kwa kweli inanikera sana. Ukiwa kazini 2 hours simu pembeni.
 
Ukiona kilasiku unafuatilia kipindi Cha Michezo katika Redio Kama iyo na unaona aina viwango vya uendeshaji (weredi) Ila kila kipindi kikifika unataka ukisikilize basi ujue wewe mwenyewe ndie mbumbumbu na unataka kusikiliza vitu unavyo vipenda wewe Cha msingi usiwasikilize tune Redio inayo kufurahisha Kuna Redio nyingi zenye vipindi vya michezo. Kwanini ukose raha ya kusikia uyapendayo na Redio zipo nyingi.
 
Mimi shida yangu kubwa hasa na hii technology za siku hizi wanakuwa live kupitia youtube tatizo hakuna weledi wako kazini studio mtu anaongea wao wengine wako busy na simu hawako kabisa unaweza kuona jambo la kawaida lakini ukiwa live na sio radio tu ni lazima muoneshe weledi simu pembeni hasa wakati wa kazi mimi sijawahi kuone wenzetu huko majuu au hata hapo kenya tu watu wako live halafu kila mtu yuko busy na simu hii tabia kwa kweli inanikera sana. Ukiwa kazini 2 hours simu pembeni.
Kweli unachozungumza, yaani kifupi hawako serous na kazi yao, ofisini inakuwa kama kijiwe cha kahawa.
 
Any ways wafanye yoooteee ila waizungumze viruri Yanga mana hatuna pa kusemea!
 
Kweli unachozungumza, yaani kifupi hawako serous na kazi yao, ofisini inakuwa kama kijiwe cha kahawa.
Natamani Kitenge atasoma hapa na kuweka code za ofisini wakati wa kazi simu pembeni. Mimi hata kama sio kazi lakini kama nimetoka na mtu labda maongezi ya kawaida na hakikisha sichezei simu tukiwa katika maongezi ila ikiwa tu mtu kapiga nitajibu lakini sio kushika simu unatafuta cha kuangalia tu hii tabia inakera sana kwa bahati mbaya hata makazini chat chat chat haipendezi.
 
Ukiona kilasiku unafuatilia kipindi Cha Michezo katika Redio Kama iyo na unaona aina viwango vya uendeshaji (weredi) Ila kila kipindi kikifika unataka ukisikilize basi ujue wewe mwenyewe ndie mbumbumbu na unataka kusikiliza vitu unavyo vipenda wewe Cha msingi usiwasikilize tune Redio inayo kufurahisha Kuna Redio nyingi zenye vipindi vya michezo. Kwanini ukose raha ya kusikia uyapendayo na Redio zipo nyingi.
Huo sio mfumo rasmi wa kuleta maendeleo anayekupenda ni anayekwambia ukweli na sio kuacha kuwasikiliza. Ndiyo maana kila sehemu Kuna dawati la kupokea maoni
 
Mimi shida yangu kubwa hasa na hii technology za siku hizi wanakuwa live kupitia youtube tatizo hakuna weledi wako kazini studio mtu anaongea wao wengine wako busy na simu hawako kabisa unaweza kuona jambo la kawaida lakini ukiwa live na sio radio tu ni lazima muoneshe weledi simu pembeni hasa wakati wa kazi mimi sijawahi kuone wenzetu huko majuu au hata hapo kenya tu watu wako live halafu kila mtu yuko busy na simu hii tabia kwa kweli inanikera sana. Ukiwa kazini 2 hours simu pembeni.
Ukiona wapo busy na simu ujue wanagoogle information wanazoongea
 
Ukiona wapo busy na simu ujue wanagoogle information wanazoongea
Kama ku google basi wote tunaweza info ziko kila mtu anaweza ku access kipindi kina producer kimeandaliwa topic ni nini unakuwa umesha jiandaa mbona huko majuu hawa google studio.
 
Kama ku google basi wote tunaweza info ziko kila mtu anaweza ku access kipindi kina producer kimeandaliwa topic ni nini unakuwa umesha jiandaa mbona huko majuu hawa google studio.
Inshort ni kwaamba hawapo serious ,maana kama wanagoogle wanakuwaje busy na simu studio,hasa Edo kumwembe ana hiyo tabia
 
Ukiona kilasiku unafuatilia kipindi Cha Michezo katika Redio Kama iyo na unaona aina viwango vya uendeshaji (weredi) Ila kila kipindi kikifika unataka ukisikilize basi ujue wewe mwenyewe ndie mbumbumbu na unataka kusikiliza vitu unavyo vipenda wewe Cha msingi usiwasikilize tune Redio inayo kufurahisha Kuna Redio nyingi zenye vipindi vya michezo. Kwanini ukose raha ya kusikia uyapendayo na Redio zipo nyingi.
Point mkuu
 
Mkuu hoja yako ya kwanza naona kisa Comeback ya jana imekutoa pangoni.

Kwa kweli habari ya mjini leo na kesho na wiki nzima ni comeback ya Wananchi hamna namna.
 
Back
Top Bottom