Mkuu, hata Chechnya iliwahi kuwa na makundi kama haya japo ilikuwa chini ya himaya ya Urusi.Hapana, ni huyu mmakonde ni mwenzetu kabisa na ni zao la Nachingwea.
Hivyo kama magaidi wameingia Msumbiji na yeye yupo, wewe waona nisimpe changamoto?
Mkuu, hata Chechnya iliwahi kuwa na makundi kama haya japo ilikuwa chini ya himaya ya Urusi.
Hivyo kuzuka kwa haya makundi haijalishi nani yupo madarakani.
Nimeone Nyusi leo alikuwa mtaani anatembelea wahanga wa mashambulizi wa hao magaidi. Problem sisi waafrika ni rahisi kugawanyishwa kwa propaganda uchwara tu bila kufanya critical analysis. Msumbiji ni kama imeiweka Tz nje ya equation kwenye kupambana na hao maharamia, ni kama vile wanatunyooshea kidole na sisi. Na mbaya zaidi ndio kachukua kiti cha SADC sasa sijui hali itakuwa vipi..
JW iweke buffer zone na kupiga doria kali ukanda huo. Kama hakuna kuaminiana na kunyoosheana vidole kwa kuwa hapo jirani tunapajua vizuri coverts ops ku pre empty na ku paralysis hicho kikundi ni muhimu. Hadi pale kutakapokuwa na common understanding ya kukabiliana na hili tatizo kwa pamoja.
FactNimeone Nyusi leo alikuwa mtaani anatembelea wahanga wa mashambulizi wa hao magaidi. Problem sisi waafrika ni rahisi kugawanyishwa kwa propaganda uchwara tu bila kufanya critical analysis. Msumbiji ni kama imeiweka Tz nje ya equation kwenye kupambana na hao maharamia, ni kama vile wanatunyooshea kidole na sisi. Na mbaya zaidi ndio kachukua kiti cha SADC sasa sijui hali itakuwa vipi..
JW iweke buffer zone na kupiga doria kali ukanda huo. Kama hakuna kuaminiana na kunyoosheana vidole kwa kuwa hapo jirani tunapajua vizuri coverts ops ku pre empty na ku paralysis hicho kikundi ni muhimu. Hadi pale kutakapokuwa na common understanding ya kukabiliana na hili tatizo kwa pamoja.
Nadhani pia ile operesheni ya kwanza ilikuwa ni kuhusu kulinda "parameters".
Sasa hivi kuwe na mipango thabiti ya kupiga kambi ndani kabisa kwa ushirikiano wa ki-SADC.
Yes, nadhani saiv eneo lote kwa upande wa mpakani huko liko mikono salama. Ila ndio kuwa macho muda wote.
Naona ni mapema sana kuingia huko ndani kukiwa na mwanga mkali mchana. Hawatuamini hao watu maana washaaminishwa vibaya hivyo sidhani kama watapokelewa vizuri hao JW. Tukabie kwenye mstari tu.
Kabisa, na cha muhimu kwa sasa ni mkutano wa pamoja wa wakuu wa SADC.
Kama AU iko kimya kwenye masuala kama haya baso SADC ionyeshe mfano kwa kuanza kushughulikia regional issues.
Uko rght unaposema sisi waafrika tuna shida.
Yaani kule Magharibi wameshindwa kuisaidia Nigeria na Boko Haram.
AU ndio wamelala usingizi wa pono hakuna hata kauli kuhusu hali hii.
Waafrika tuna safari ndefu sana.
Uko sahihi kabisa mkuu, makundi kama haya hayamaliziki kwa operation ya kijeshi ya usiku mmoja ila ni suala linalohitaji muda (Nigeria mpaka sasa inapambana na Bokoharam) na ina gharama zake kirasilimali (fedha,vifaa,mafunzo) na hata kiusalama (mfano Kenya na Uganda baada ya kuingia Somalia).Ni lazima pia tujiandae na gharama zitakazoambatana na kuipa msaada wowote Mozambique dhidi ya hili kundi. Huenda hatuna tofauti kubwa sana nao kiusalama ni mapema sana kuwaita wazembe. Kinachoendelea kule tumekiona kikianza, kustawi na kukomaa kule Nigeria. Tumeona harakati za Kenya na Uganda kule Somalia na gharama zake. Tunawazidi nini?
Umeandika kwamba Rais Nyusi ni legelege ndio maana kashindwa kukabiliana na kuzorota usalama, huku ni kukosa adabu na nidhamu mbaya.
Ina maana hata Buhari wa Nigeria, Idriss Derby wa Chad wao pia ni legelege sababu uasi wa bokoharam umezorotesha usalama huko kwao?
Pia Rais Alsis wa Misri naye utamuita legelege kisa wanamgambo wa ISIS wanafanya ghasia na kuzorotesha usalama huko Sinai?
Isitoshe serikali ya Msumbiji haijakiri imeshindwa kuwadhibiti hao wahuni ila ni suala linalohitaji muda (rejea nchi za Nigeria, Cameroon,Chad mpaka Sasa zinapambana na Bokoharam).
Mpaka hata leo Syria, Iraq, NigeriaHizi Ishu inabidi uzijadiri kila moja peke yake,hao wengine inawezekana sio legelege,lakini,Kuna sababu zingine zinazofanya washindwe,ila huyu wa msumbiji,kwa viwango vyovyote vile ni legelege,
Dawa ya magaidi ni a bullet in the back of the head,hiyo ndio lugha pekee wanayoielewa,
Na hivi vikundi huwa havizuki tu,
Unakumbuka misafara ya kikundi Cha ISS,ilikuwa inajaa landcruiser mkonge tupu,Tena mpya!jiulize zilikuwa zinanunuliwa wapi,na zinawafikiaje?
Sikia hao ISIS hawapigani kwa manati, so sisi tujizatiti kulinda ardhi yetu tu isiguswe na hao panya wajiitao isis..bila shaka wa Sasa bado hatuna uwezo wa kupambana na makundi Kama haya yenye silaha,,kushambulia na kukimbua ndo njia yao.. walaaniwe
,
Tukijitoa kimbele mbele kuingia Msumbiji kusaidia Serikali dhidi ya waasi, yatatukuta ya Garissa.
ni kawaida kupigwa hata wairaeli walipigwa. Na wafilisti saana japo walikua imara ila ukilemaa kidogo. Ndio adui anashika. HatamuUmeandika kwamba Rais Nyusi ni legelege ndio maana kashindwa kukabiliana na kuzorota usalama, huku ni kukosa adabu na nidhamu mbaya.
Ina maana hata Buhari wa Nigeria, Idriss Derby wa Chad wao pia ni legelege sababu uasi wa bokoharam umezorotesha usalama huko kwao?
Pia Rais Alsis wa Misri naye utamuita legelege kisa wanamgambo wa ISIS wanafanya ghasia na kuzorotesha usalama huko Sinai?
Isitoshe serikali ya Msumbiji haijakiri imeshindwa kuwadhibiti hao wahuni ila ni suala linalohitaji muda (rejea nchi za Nigeria, Cameroon,Chad mpaka Sasa zinapambana na Bokoharam).
Nazijua nilikua natumia kupigia mbuzi na ndege wakati nachunga.. lakini pia nimewahi pigwa na manati karibu kabisa na jicho na dogo mmoja mkorofi huko machunganiWe jamaa, wafahamu manati yananikumbusha mbali sana?
Kuwinda njiwa au tetere.