Ushauri kwa Serikali: Futeni HESLB na fedha zote zielekezwe kwenye ajira mpya za graduates wa vyuo!

NAMBA MOJA AJAYE NCHINI

JF-Expert Member
Oct 29, 2019
8,526
17,429
Maisha yanaendelea! Maelfu ya graduates wasio na ajira yanaongezeka mtaani kila mwaka!na graduates wanashindwa kurejesha mkopo wa masomo waliotumia kusomeshwa. Muda umefika serikali ifanye Re alocation ya bajeti ya mkopo kuwa bajeti ya ajira mpya ili graduates waajiriwe na serikali nchini.

Wakati huo elimu ya chuo iwe bure bila ada na vyuo vipokee capitation kutoka serikalini kama mashule vijiendeshe na mwanachuo ajikimu kwa chakula na malazi tu asome awe na uhakika wa ajira.

Pia kila mwaajiriwa akatwe tozo ya maendeleo ya chuo alichosomea kwa kiasi kidogo kisichoongezeka kila mwezi hata baada ya kupanda cheo.

Hela za mafunzo kwa vitendo zitolewe na serikali kwa kila mwanachuo kwa kujali gharama za faculty anayosomea!

PELEKENI MUSWADA BUNGENI MJADILI MUONE NAMNA KUFANYIA KAZI WAZO LANGU.
 
Ni bora vijana wasipate boom ila wapate uhakika wa ajira nchini!!!na pia serikali ikwepe hasara ya kukopesha wanachuo ambao hawana uhakika wa kulipwa!!!
 
Maisha yanaendelea! Maelfu ya graduates wasio na ajira yanaongezeka mtaani kila mwaka!na graduates wanashindwa kurejesha mkopo wa masomo waliotumia kusomeshwa...
Mkuu, nina kijana wangu niliisha lipa mzigo ila kilichoendelea hakuna na sasa wametoa majina eti ni awamu ya mwanzo na vyuo ni J3 ijayo.
 
Mkuu, nina kijana wangu niliisha lipa mzigo ila kilichoendelea hakuna na sasa wametoa majina eti ni awamu ya mwanzo na vyuo ni J3 ijayo.
Serikali imeelemewa sana tu!sema imeendekeza siasa kwenye ishu ya mikopo!!!!Bora Bodi ifutwe elimu ya chuo iwe bure kwa wote wanaofaulu!!!ili sinema ziishe!!!
 
Sasa huyo wa kupeleka muswada au mapendekezo kama hayo ndani ya bunge ninani?
Sisi tulietu
 
Maisha yanaendelea! Maelfu ya graduates wasio na ajira yanaongezeka mtaani kila mwaka!na graduates wanashindwa kurejesha mkopo wa masomo waliotumia kusomeshwa. Muda umefika serikali ifanye Re alocation ya bajeti ya mkopo kuwa bajeti ya ajira mpya ili graduates waajiriwe na serikali nchini.

Wakati huo elimu ya chuo iwe bure bila ada na vyuo vipokee capitation kutoka serikalini kama mashule vijiendeshe na mwanachuo ajikimu kwa chakula na malazi tu asome awe na uhakika wa ajira.

Pia kila mwaajiriwa akatwe tozo ya maendeleo ya chuo alichosomea kwa kiasi kidogo kisichoongezeka kila mwezi hata baada ya kupanda cheo.

Hela za mafunzo kwa vitendo zitolewe na serikali kwa kila mwanachuo kwa kujali gharama za faculty anayosomea!

PELEKENI MUSWADA BUNGENI MJADILI MUONE NAMNA KUFANYIA KAZI WAZO LANGU.
Kizuia swala la ajira ni vigumu sana kutokana na namna tunavyo zaliana kama simbilisi.
 
Yan hapo umenena elimu iwe bure na wote wakatwe mishahara iwe ni lazima
 
Back
Top Bottom