Shark
JF-Expert Member
- Jan 25, 2010
- 29,455
- 29,133
Leo nilipita kwenye hili tawi la M-pesa kujaza akaunti yangu, baada ya kuhesabiwa kwenye kimashine chao ambacho mteja hukioni nikaambiwa eti zimepungua alfu 10 wakati hela nimetoa benki,
Sitaki niingie kwa gia ya kuwakandia moja kwa moja kua ni wezi, kwani inawezekana ni kosa langu pia labda wakati natoka benki nliingiza hela pungufu mfukoni.
But ushauri wangu hizo mashine zenu mziweke kwa namna ambayo tutaziona na sisi wateja kama benki wanavyofanya.
Sitaki niingie kwa gia ya kuwakandia moja kwa moja kua ni wezi, kwani inawezekana ni kosa langu pia labda wakati natoka benki nliingiza hela pungufu mfukoni.
But ushauri wangu hizo mashine zenu mziweke kwa namna ambayo tutaziona na sisi wateja kama benki wanavyofanya.