Niliwahi kuo-comment juu ya kipindi hicho,kwa kweli kinaboa sana,mi naangalia asubuhi kwa vile AZAM haina star TV ambayo ni the best kwa TV zote kwa kipindi chao cha yaliyomo magazetini,uwa wanatoa summary nzuri sana tofauti na TV nyingine yoyote Tanzania,uwa naanzia ITV ambao wao wanasoma tu vichwa vya habari na hakuna cha ziada,kisha nahamia clouds kuangalia kama kuna la ziada kabla siajenda kwenye mizunguko yangu.Tatizo clouds wanatumia muda mwingi kujadili nonsense na vitu vingi ambavyo hawana uelewa navyo pia wanaingiliana ingiliana pal aliyena unafuu ni yule dogo anayetangaza mpira,uwa wananiboa tena ku quote ma-philosophers mara alistotle,mara Einsten etc