Nyerere angekuwa anaangalia maslahi yake wala tusingepata uhuru maana angewaambia waingereza wampe anachotaka ili atutelekeze watanganyika!! Hivi nyie malaya mmetoka mbingu gani!?Miaka mitano ni mingi aisee tena ukijua ulikuwa na fursa ila ukaichezea mwnyw, mm naona achague upande anaouona ni bora kwake.