Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 57,105
- 128,730
Nimeipenda hii,Uchaguzi mkuu wa mwaka 2030, ndio mwanzo wa mwisho wa CCM! Wajinga karibu wote watakuwa wamemalizika!CHADEMA itarudi kwa kasi ya kutisha. Niamini come 2030 CHADEMA inaweza kuwa Chama Dola.
Mhe. Mdee wewe vumilia achana na kuhama CHADEMA Oktoba 2030 wewe ndo utakuwa Mhe. Waziri wa Sheria na Katiba.
Chadema isiposhiriki uchaguzi huu, its the end of the road kwa Chadema。
Halima uchukue fomu Kawe, CCM itamsimamisha, Kawe tutamchagua!
P