Ushauri kwa Halima Mdee

Ushauri kwa Halima Mdee

Akwendeee! Chadema haibebwi na mtu, inajibeba yenyewe.
 
Halima kwa sasa sio mwanachama wa CHADEMA. Alishafukuzwa yeye na wale wenzie 18 ambao wanatengeneza kile kinachitwa covid 19.
Anachopaswa kufanya ni kuomba radhi na aombe tena uanavhama upya. Anaweza akakubaliwa au kukataliwa. Kwa alivuo sasa na misimamo ya mwenyekiti, ushauri wako hauna maana.
Ramani yake ya kisiasa imepoteza mwelekeo.
 
Shida iko sehemu moja tu! Ataweza kuvumilia njaa, na hasa pale itakapo panda kichwani? Kumbuka njaa haina baunsa.
Halima Mdee ni mwanasheria. Hawezi kupata njaa kiasi cha kutamani ubunge. Ila hata mimi ningemshauri arudi Chadema.
 
Back
Top Bottom