Ushauri kwa Ester Matiko (MB)

Ushauri kwa Ester Matiko (MB)

Naona Dau lake kubwa sana mmeshindwa kufika, Mmeamua kuongeza nguvu ya ushawishi wa mitandao, Nyie toeni hela hiyo.
 
Kiasi cha pesa kitakachotumika kurudia uchaguzi nadhani ni bora apewe kutimiza baadhi ya miradi.
 
Mh. Ester Matiko. Napenda kukupokeza kwa Kazi nzuri unazozifanya jimboni. Wewe ni Mbunge makini lakini hauko kwenye chama makini. Nakushauri hamia CCM ambacho ni chama makini ili uweze kufanya vizuri Kazi za kuwaletea maendeleo wananchi wako. Fuata nyayo za Mbunge wetu wa Serengeti Marwa Ryoba. Ni matumaini yangu utanisikiliza.
chama makini MKURUGENZI anajificha barna kufunga ofisi ili vyama visivyo makini vikirudisha fomu vikute hayupo na chama makini kipite bila kupingwa? chama makini kinasaidiwa kupta ushindi na vyombo vya ulinzi na usalama? tafuta kamusi usome maana ya umakini ni nini
 
Mh. Ester Matiko. Napenda kukupokeza kwa Kazi nzuri unazozifanya jimboni. Wewe ni Mbunge makini lakini hauko kwenye chama makini. Nakushauri hamia CCM ambacho ni chama makini ili uweze kufanya vizuri Kazi za kuwaletea maendeleo wananchi wako. Fuata nyayo za Mbunge wetu wa Serengeti Marwa Ryoba. Ni matumaini yangu utanisikiliza.
Msiwapotoshe watoto wetu maana mpaka sasa watoto wadogo mashuleni wanaamini kuwa mpinzani ni kosa kumbe ni utaratibu rasmi wa kuwa watu wenye mawazo mbadala na ndio maana bungeni kuna mawaziri vivuli na kiongozi wa kambi rasmi ya upinzani ambaye anagharamiwa na serikali. Hapo tu inaonyesha upinzani ni kitu ambacho kinakubaliwa kwani hata kama utakuwa hujashika uongozi lakini bado unaweza ukawa na mawazo mbadala ambayo yanamsaidia yule anaetawala kuweka mambo sawa.

Hata huyo mbunge unaemwona makini bado ana fursa ya kuijenga nchi akiwa huko huko alipo
 
Mh. Ester Matiko. Napenda kukupokeza kwa Kazi nzuri unazozifanya jimboni. Wewe ni Mbunge makini lakini hauko kwenye chama makini. Nakushauri hamia CCM ambacho ni chama makini ili uweze kufanya vizuri Kazi za kuwaletea maendeleo wananchi wako. Fuata nyayo za Mbunge wetu wa Serengeti Marwa Ryoba. Ni matumaini yangu utanisikiliza.
Sasa kuandika tu kazi. Unamshauri kama nani. Badala ya kuzungumzia maendeleo ya nyumbani kwako na kule Kolomije unashauri mtu ahame chama. Miaka 60 Luna maendeleo gani?? Maendeleo kwa kuua watu nayo utayaita maendeleo. Unajua raia wako ili ulete maendeleo kwa nani?? Kwa wanyama???
 
Sasa kuandika tu kazi. Unamshauri kama nani. Badala ya kuzungumzia maendeleo ya nyumbani kwako na kule Kolomije unashauri mtu ahame chama. Miaka 60 Luna maendeleo gani?? Maendeleo kwa kuua watu nayo utayaita maendeleo. Unajua raia wako ili ulete maendeleo kwa nani?? Kwa wanyama???
Namshauri kama mwanachama wa CCM
 
Kweli naona mapepo sasa wanatembea mitaani nawewe sasa yameshakupanda kuchwani
Mh. Ester Matiko. Napenda kukupokeza kwa Kazi nzuri unazozifanya jimboni. Wewe ni Mbunge makini lakini hauko kwenye chama makini. Nakushauri hamia CCM ambacho ni chama makini ili uweze kufanya vizuri Kazi za kuwaletea maendeleo wananchi wako. Fuata nyayo za Mbunge wetu wa Serengeti Marwa Ryoba. Ni matumaini yangu utanisikiliza.
 
Nakuhakikishia kuwa 90% ya hawa lumumba ni masikini wa kutupa kuanzia elimu hadi kipato
matokea ya kuwa na bunge LA chama kimoja yatatuhusu wote maana hata ninyi mmebanana nasi humu humu. Tumikeni tu.By the way Zanzibar vipi? Sorry mkuu nimesahau kuwa uwezo wetu wa kutumia mbongo tulizopewa na Muumba unapungua kadri njaa zinavyotuuma
 
Mh. Ester Matiko. Napenda kukupokeza kwa Kazi nzuri unazozifanya jimboni. Wewe ni Mbunge makini lakini hauko kwenye chama makini. Nakushauri hamia CCM ambacho ni chama makini ili uweze kufanya vizuri Kazi za kuwaletea maendeleo wananchi wako. Fuata nyayo za Mbunge wetu wa Serengeti Marwa Ryoba. Ni matumaini yangu utanisikiliza.
Mh.Matiko wapiga kura walikupenda ukiwa Chadema Mungu anakuwezesha kuyafanya yote ukiwa Chadema na atakubariki zaidi ukiwa huko huko Usiwasaliti Chadema kama kina fulani
 
Kwenye ukoo wenu mna asili ya ukichaa wallah! Ubunge amepata kwa ridhaa ya wanachama wa CDM na sio ccm. kwa lugha nyingine unamwambia ahame ktk ufalme wa Mungu ahamie ktk ufalme wa 'yule aliye kinyume' na Mungu!
Shetani
 
Back
Top Bottom