Ushauri kwa Ester Matiko (MB)

Ushauri kwa Ester Matiko (MB)

huu ushauri sio wa kuuchukua kamwe. mbunge ester tulia umalize kipindi chako ulichopewa na wana tarime....
 
Kama ni Maendeleo huko Chirubu Ruangwa anapotokea waziri Mkuu kungekuwa na maji kila kijiji.
Hakuna cha ushauri wala nini wahame wote tubaki wapinzani wa kweli.
Eti kuunga mkono juhudi,juhudi zipi..?

Bado tuna safari ndefu sana.
 
matokea ya kuwa na bunge LA chama kimoja yatatuhusu wote maana hata ninyi mmebanana nasi humu humu. Tumikeni tu.By the way Zanzibar vipi? Sorry mkuu nimesahau kuwa uwezo wetu wa kutumia mbongo tulizopewa na Muumba unapungua kadri njaa zinavyotuuma
Nadhani kunaweza kukawa na nia potofu ya kutaka kuua upinzani katika hii hamahama. YETU MACHO! WIMBO WA ZIDUMU FIKRA ZAHIHI ZA MWENYEKITI HAUPO MBALI
 
Haya ni matunda adhimu ya ccm, bora elimu. Jitu lijue kusoma na kuandika a e i o u basi tosha. Giza ktk mbongo za watu ni mtaji mzuri wa ccm, na hivi elimu bure! nategemea mafuriko ya mambumbumbu miaka ijayo. Kinachosaidia ni kuwa hayaumwagi kichwa so hayamezi hata panadol maana hayawazi chochote kwakuwa hayana akili hiyo.
 
Mkuu siasa nyepesi na zinazofanywa na wanasiasa uchwara hasa wa awamu hii zimeua kabisa uwezo wa watanzania wengi kufikiria hivyo hawawezi ona hiki ulichoandika hapa wala kujua dhamani yake. Kiukweli Tanzania awamu hii imepata, si viongozi, si wananchi wote bahati mbaya, yaani mpaka nabubujikwa na machozi

Hizi shule na vyuo vya multiple choice ni taabu sana!!
 
Back
Top Bottom