Ushauri kwa Baraza La Maaskofu TEC

Wazungu ndio wameleta hio dini na wao ndio wenye hatimiliki na dini hio hata makao makuu yapo kwao na wenye dini Yao ndio wameamua kuiuza kwa freemason sasa sisi weusi tutapingaje hali hatuna hatimiliki.
Labda tujjtenge nao.
Tufute uhusiano na Vatican
POINT!!
 
Kwisha habari yenu
Yaani mnauona uchoko na usagaji kama vile jambo jema
Mmepotea na kupotoka hampo kwenye njia sahihi mnatakiwa mujitathmini
 
Mababa,

Huu ni ushauri mdogo kwenu maana naamini mmejaa hekima na elimu ya kutosha kufahamu kinachoendelea. Ombi langu kwenu ni moja tu!

Msitoke kutetea hiyo document iliyotolewa na Vatican bali simamieni mafundisho ya Kanisa tuliyopokea ama kwa maandishi au kwa mapokeo kama anavyosema mtume Paulo.

Ni vizuri kuongea kuliko kukaa kimya huku waamini wakiwa kwenye mtanziko wa yanayoendelea kwenye vyombo vya habari na mitandao.

Kwa waamini wenzangu, kama huwezi kuipata na kuisoma mwenyewe hiyo document usitoe maoni yoyote kwa kupitia taarifa pekee za vyombo vya habari.

Hatari zaidi ni kuwasikiliza watu ambao hawalijui Kanisa, hawajui mafundisho ya Kanisa na wengine wamejaa chuki hata kabla ya taarifa kama hizi.

Uhai wa Kanisa upo mikononi mwa Kristo na yeye mwenyewe alishatuhakikishia Kanisa halitoshindwa. Let's watch and pray
Ila Kwa haya yanayoendelea huenda asipatikane tena papa kutoka nje ya ulaya
 
Mkuu siungi mkono wala kukubaliana na habari ya ushoga, ila twende kwenye uhalisia, hatuombei iwe hivyo na Mungu aepushilie mbali lakini ndio tuseme imetokea mwanao amekuwa shoga, utatumia approach gani kuliendea swala hili!

Mkuu hii changamoto ya ushoga ni kama ilivyo kuwa janga la Ukimwi miaka ya 90. Ukimwi sasa hivi sio habari ya kutisha kama mwanzo! Tuwe na Akiba ya maneno!
Binafsi mwanangu akiwa shoga huyo ni marehemu kwanjia yoyote.
 
ahahaaaaaa!!!!,ata mimi nilikuwa nawapa utamu wangu wanawake,lakini itabidi na hawa niwaonje japo kichwa tu!!!
Dhambi mkuu Allah katuumbia wanawake tena wazuri kwel kwel na wakuvutia
Ukitaka wanene wembamba weusi weupe tena ule waasili sio wakujichubua wapo
Hawa waachwe na laana zao ama waambiwe madhara yake pengine wanaweza wakaepukana nayo
 
Mkuu siungi mkono wala kukubaliana na habari ya ushoga, ila twende kwenye uhalisia, hatuombei iwe hivyo na Mungu aepushilie mbali lakini ndio tuseme imetokea mwanao amekuwa shoga, utatumia approach gani kuliendea swala hili!

Mkuu hii changamoto ya ushoga ni kama ilivyo kuwa janga la Ukimwi miaka ya 90. Ukimwi sasa hivi sio habari ya kutisha kama mwanzo! Tuwe na Akiba ya maneno!
Vyovyote iwavyo uchoko na usagaji ulaabiwe kwa nguvu zoote
 
Dhambi mkuu Allah katuumbia wanawake tena wazuri kwel kwel na wakuvutia
Ukitaka wanene wembamba weusi weupe tena ule waasili sio wakujichubua wapo
Hawa waachwe na laana zao ama waambiwe madhara yake pengine wanaweza wakaepukana nayo
ah!! lazima nimtafute mkatoliki mmoja alaf nimchomeke mkuu!!,nikimaliza natubu au unanishauri vipi?
 
Mkuu siungi mkono wala kukubaliana na habari ya ushoga, ila twende kwenye uhalisia, hatuombei iwe hivyo na Mungu aepushilie mbali lakini ndio tuseme imetokea mwanao amekuwa shoga, utatumia approach gani kuliendea swala hili!

Mkuu hii changamoto ya ushoga ni kama ilivyo kuwa janga la Ukimwi miaka ya 90. Ukimwi sasa hivi sio habari ya kutisha kama mwanzo! Tuwe na Akiba ya maneno!

Ukimwi ni ugonjwa.
Ushoga ni uhalifu.
Unauliza mtoto akiwa mhalifu afanyweje?
Si anatakiwa kupewa adhabu.

Baadaye Baba akilala na mtoto au Mama akilala na kijana wake Uulize utafanyaje?
Au baba amfire kijana wake utauliza swali hilo tena?
Embu kuweni serious hata kidogo
E
 
Kwa wasiofahamu, baadhi ya makanisa ya kikristo nchi za ulaya, Amerika, Australia nk. yameshawatambua mashoga na huenda wameshaanza kufunga hizo ndoa hata kwa kificho.

Kwa sababu hili swala limeanzia kwenye serikali za mataifa hayo yaliyoendelea na kupata msukumo mkubwa na hata kuanza kufungamanishwa na kupewa misaada kwa nchi maskini, huu waraka uliotoka Vatican siyo jambo la bahati mbaya na huenda hata Papa mwenyewe kwa umri wake mkubwa ametumika tu kama rubber stamp kwenye jambo ambalo tayari limeshapenyezwa na kupewa msukumo mkubwa.​
 
Math 7: 17 Vivyo hivyo, kila mti mzuri huzaa matunda mazuri, lakini kila mti uliooza huzaa matunda mabaya. 18 Mti mzuri hauwezi kuzaa matunda mabaya, wala mti uliooza hauwezi kuzaa matunda mazuri. 19 Kila mti usiozaa matunda mazuri hukatwa na kutupwa ndani ya moto.
================

Shida mti umeoza matawi yatafanya nini?
 
Mababa,

Huu ni ushauri mdogo kwenu maana naamini mmejaa hekima na elimu ya kutosha kufahamu kinachoendelea. Ombi langu kwenu ni moja tu!

Msitoke kutetea hiyo document iliyotolewa na Vatican bali simamieni mafundisho ya Kanisa tuliyopokea ama kwa maandishi au kwa mapokeo kama anavyosema mtume Paulo.

Ni vizuri kuongea kuliko kukaa kimya huku waamini wakiwa kwenye mtanziko wa yanayoendelea kwenye vyombo vya habari na mitandao.

Kwa waamini wenzangu, kama huwezi kuipata na kuisoma mwenyewe hiyo document usitoe maoni yoyote kwa kupitia taarifa pekee za vyombo vya habari.

Hatari zaidi ni kuwasikiliza watu ambao hawalijui Kanisa, hawajui mafundisho ya Kanisa na wengine wamejaa chuki hata kabla ya taarifa kama hizi.

Uhai wa Kanisa upo mikononi mwa Kristo na yeye mwenyewe alishatuhakikishia Kanisa halitoshindwa. Let's watch and pray
Roman Catholic Church haifanyi kazi kwa taharifa za vijiweni
Msimamo wa Kanisa na Papa uko wazi
Kazi ya Kanisa ni kuwaombea mashoga wabadilike hiyo habari ya kubariki ndoa za mazhoga waachie BBC na Anglican Church huko Uingereza
 
Mababa,

Huu ni ushauri mdogo kwenu maana naamini mmejaa hekima na elimu ya kutosha kufahamu kinachoendelea. Ombi langu kwenu ni moja tu!

Msitoke kutetea hiyo document iliyotolewa na Vatican bali simamieni mafundisho ya Kanisa tuliyopokea ama kwa maandishi au kwa mapokeo kama anavyosema mtume Paulo.

Ni vizuri kuongea kuliko kukaa kimya huku waamini wakiwa kwenye mtanziko wa yanayoendelea kwenye vyombo vya habari na mitandao.

Kwa waamini wenzangu, kama huwezi kuipata na kuisoma mwenyewe hiyo document usitoe maoni yoyote kwa kupitia taarifa pekee za vyombo vya habari.

Hatari zaidi ni kuwasikiliza watu ambao hawalijui Kanisa, hawajui mafundisho ya Kanisa na wengine wamejaa chuki hata kabla ya taarifa kama hizi.

Uhai wa Kanisa upo mikononi mwa Kristo na yeye mwenyewe alishatuhakikishia Kanisa halitoshindwa. Let's watch and pray
Hatuwashangai, hamjaanza leo.
 
Back
Top Bottom