Bwana Utam
JF-Expert Member
- Feb 15, 2016
- 19,989
- 37,378
Unajua kama kuna utofauti kati ya kusoma kitu kukielewa na kukiishiUnaujuaje uislamu bila kuusoma?
Uislam sio kuusoma tu kwanza uusome halaf uuelewe na mwisho kabisa uuishi
Yaani utasoma kama pombe kharam ushajua kama kharam pili usinywe pombe halaf mwisho ujue kuwaambia na wengine kua pombe kharam nk
Kusoma sio kuelewa na kuelewa sio kuuishi uislam
Wewe inaweza ikawa umeusoma uislam sijakataa ila nna uhakika hukuuelewa nakama umeuelewa nambie uliuelewaje uislam kwa ulipo usoma wewe
Mpaka hapa umenielewa