Ushauri kwa Baraza La Maaskofu TEC

Ushauri kwa Baraza La Maaskofu TEC

Unaujuaje uislamu bila kuusoma?
Unajua kama kuna utofauti kati ya kusoma kitu kukielewa na kukiishi
Uislam sio kuusoma tu kwanza uusome halaf uuelewe na mwisho kabisa uuishi
Yaani utasoma kama pombe kharam ushajua kama kharam pili usinywe pombe halaf mwisho ujue kuwaambia na wengine kua pombe kharam nk
Kusoma sio kuelewa na kuelewa sio kuuishi uislam
Wewe inaweza ikawa umeusoma uislam sijakataa ila nna uhakika hukuuelewa nakama umeuelewa nambie uliuelewaje uislam kwa ulipo usoma wewe
Mpaka hapa umenielewa
 
Mababa,

Huu ni ushauri mdogo kwenu maana naamini mmejaa hekima na elimu ya kutosha kufahamu kinachoendelea. Ombi langu kwenu ni moja tu!

Msitoke kutetea hiyo document iliyotolewa na Vatican bali simamieni mafundisho ya Kanisa tuliyopokea ama kwa maandishi au kwa mapokeo kama anavyosema mtume Paulo.

Ni vizuri kuongea kuliko kukaa kimya huku waamini wakiwa kwenye mtanziko wa yanayoendelea kwenye vyombo vya habari na mitandao.

Kwa waamini wenzangu, kama huwezi kuipata na kuisoma mwenyewe hiyo document usitoe maoni yoyote kwa kupitia taarifa pekee za vyombo vya habari.

Hatari zaidi ni kuwasikiliza watu ambao hawalijui Kanisa, hawajui mafundisho ya Kanisa na wengine wamejaa chuki hata kabla ya taarifa kama hizi.

Uhai wa Kanisa upo mikononi mwa Kristo na yeye mwenyewe alishatuhakikishia Kanisa halitoshindwa. Let's watch and pray [emoji120]
Mwaka mpya maybe watatoa neno!!
 
Binafsi mwanangu akiwa shoga huyo ni marehemu kwanjia yoyote.
FUTA kauli,

Ni muhimu kuwaombea watoto wako,

USHOGA ni Roho inayopandikizwa kuanzia mashuleni Kwa watoto, ukimuua mwanao haitasaidia.

PAMBANA kuangamiza Roho ya USHOGA ndani ya shoga, na ukifanikiwa, ataacha UOVU huo na kurudi katika mstari.
 
Unajua kama kuna utofauti kati ya kusoma kitu kukielewa na kukiishi
Uislam sio kuusoma tu kwanza uusome halaf uuelewe na mwisho kabisa uuishi
Yaani utasoma kama pombe kharam ushajua kama kharam pili usinywe pombe halaf mwisho ujue kuwaambia na wengine kua pombe kharam nk
Kusoma sio kuelewa na kuelewa sio kuuishi uislam
Wewe inaweza ikawa umeusoma uislam sijakataa ila nna uhakika hukuuelewa nakama umeuelewa nambie uliuelewaje uislam kwa ulipo usoma wewe
Mpaka hapa umenielewa
Aisee ni hatari...umekielewa ulichokiandika? Huwezi kuujua uislamu bila kuusoma wewe dogo
 
Aisee ni hatari...umekielewa ulichokiandika? Huwezi kuujua uislamu bila kuusoma wewe dogo
Wewe ndio hujanielewa
Naunaweza ukauelewa uislam baada ya kuusoma ila usiufate ama usiuishi
Pengine uliusoma uislam ila hukuuelewa
Ndio maana nikakuuliza uliusoma uislam mpaka level gani?
Sio tunabishana wakat uliishia alif halaf useme uliusoma uislam
 
FUTA kauli,

Ni muhimu kuwaombea watoto wako,

USHOGA ni Roho inayopandikizwa kuanzia mashuleni Kwa watoto, ukimuua mwanao haitasaidia.

PAMBANA kuangamiza Roho ya USHOGA ndani ya shoga, na ukifanikiwa, ataacha UOVU huo na kurudi katika mstari.
Sodoma ilichomwa, kwanini isingeombewa?
 
Sodoma ilichomwa, kwanini isingeombewa?
Na Dunia itaangamizwa Kweli sababu ya UOVU,

Kinachokwenda Kutokea mbeleni, ukipinga USHOGA unafungwa JELA au kuuwawa, marekani hata kuwasema mashoga au kuhubiri hadharani au kulitaja Jina la YESU ni kosa.

Tunatakiwa Kupambana na kuungana, sababu hao waovu wamejipanga kuhakikisha ushetani unatawala duniani.
 
Unatakiwa kujua kuwa USHOGA ni Roho inayomvamia mtu na kuinfluence TABIA kupitia mazingira mbalimbali.

Unatakiwa kumnyanganya USHOGA na kuirudisha kuzimu, vita hiyo ni ya kiroho kwanza KABLA ya mwilini.

Kumkemea na kumkaripia ni sawa kabisa. Ila kumwua Si sawa.

Ni sawa na kuchoma nyumba Eti kisa nyoka mdogo ameingia ndani ya nyumba Yako!!
hamna k2 kama icho,ni kujiendekeza tu!!!,,,vi2 vigumu 2nasimsingizia sheatani na roho!!!
 
Back
Top Bottom