Father of All
JF-Expert Member
- Feb 26, 2012
- 6,376
- 6,720
Sijui kama unajua unachoongea hapa au ni kwa vile kuongea au kutoa maoni ni haki ya bure. Wakati mwingine kunyamaza ni mali kuliko kubwabwaja so to speakKwani shida ni ya nani? Ni watanzania kutaka uraia wa nchi zingine au wa nchi zingine kutaka uraia wa TZ? Shida ni kwamba kuna wa-TZ walioamua kuukana uraia wao na kuchota uraia wa nchi zingine wakiamini wameukata. Sasa kihoro kinawasumbua wanataka waruhusiwe kuwa tena wa TZ.
Ndo maana unasikia maneno kama kuonea wivu. Ni kwa kuamini kwamba walipopata uraia wa nje waliukata: BAlozi Mula mula huyo muonee huruma tu! NI bahati mbaya leo hii ni waziri labda naye anataka uraia wa Rwanda.