Dodoma moja
JF-Expert Member
- Jan 3, 2014
- 307
- 177
Wakuu wasaalam
Mwezi huu nimefanikiwa kupaua nyumba yangu, kuweka magrill, kuchimba shimo la choo na nina mpango wa kupiga plasta nadni na nje pamoja na jamvi. kinachoniumiza kichwa mwezi Januari mwishoni kodi yangu inaisha na ninatakiwa kulipa kodi ya miezi sita kila nikiwaza nihamie kwa hatua niliyofikia mawazo yanakuja mengi mengi kuwa nisubiri ili nilipe kodi ya mwisho then nihamie mwezi wa 7 mwishoni lakini pia wazo lingine linasema hamia hivyo hivyo ili kodi nitakayolipa Januari inisaidie kwenye baadhi ya shughuli
Nahisi kuchanganyikiwa ushauri wenu wakuu
Mwezi huu nimefanikiwa kupaua nyumba yangu, kuweka magrill, kuchimba shimo la choo na nina mpango wa kupiga plasta nadni na nje pamoja na jamvi. kinachoniumiza kichwa mwezi Januari mwishoni kodi yangu inaisha na ninatakiwa kulipa kodi ya miezi sita kila nikiwaza nihamie kwa hatua niliyofikia mawazo yanakuja mengi mengi kuwa nisubiri ili nilipe kodi ya mwisho then nihamie mwezi wa 7 mwishoni lakini pia wazo lingine linasema hamia hivyo hivyo ili kodi nitakayolipa Januari inisaidie kwenye baadhi ya shughuli
Nahisi kuchanganyikiwa ushauri wenu wakuu