Ushauri kuhusu ku-apply vyuo vikuu 2016/2017

Ushauri kuhusu ku-apply vyuo vikuu 2016/2017

Kwaiyo hapo. Siwez kuapplay chuo do jaman maisha yang yameharbka
 
Kasema mwisho ni Div 2 ya 12 kam una 13 tafuta diploma cz kasema unatakiwa uciwe na e kwenye masomo yako yote...hapo klmjee
hapana zingatia zinawezapatikana points 4 kwa masomo mawili mf DD=4 au CE=4 kama minimum. achana nen na hzo habar za uongo fata mf wangu hapo juu
 
wanaangalia cut off point hapo ina D mbili ambazo ni point 4 kwa masomo mawili kama minimum hapo unaenda chuo kikuu
Kwa mfano kwenye course wameweka 5points from 3 subjects lkn ukawa una 4.5 wanakuchagua?
 
Kwa mfano kwenye course wameweka 5points from 3 subjects lkn ukawa una 4.5 wanakuchagua?
hapana kwanza system itakataa hata ikikubali majibu yatakapotoka utaamiwa hukutimiza vigezo so application yako ikawa cancelld
 
Je kam wameweka 4.5 afu una 4 inakuaje hapo
huwezi na haifai kabisa wala usijupe matumaini. system ndo inachambu kwa hiyo kama hujafikisha inakutyupilia mbali, bora ingekua na binadamu mwenzio angeweza hata kukuone huruma
 
Kwaiyo hapo. Siwez kuapplay chuo do jaman maisha yang yameharbka
maisha hayaja haribika wewe kuna pla a b c nakuendelea acha presha. hapo unaweza rudia pepa na ukapiga vizuri tuu pia kuna option ya kwenda diploma au higher diploma.
TCU kama mambo hayajakubali angalia higher diploma huko naskia wanalegeza ila sijashughudia kwa macho yangu.
kwa maana nyingine higher/advanced diploma is equivalent to degree.
mshahara inakua sawa hakuna mkubwa kushinda mwenzie wote wanalingana. ningekua na mda ningekuletea link hapa uone requirement za kuingia higher diploma kutoka form six uone mambo yanavyokua laini
 
Wanaosomea health system management wanasomea kitu gan?
kama kumbukumbu zangu kuna mtu aliniambia inatolewa mzume university ndo naskia unakuja kuwa katibu afya au bwana afya ila search google health system management carrier utapata ufahamu zaidi
 
Biology D
History D
Kiswail D
English D
Hesab F
Geography F
Civics F =na dividion 4point 31 matokeo yangu ya kidato cha nne, naomba ushaur pia naomba ufafanuz wa koz ya kupata sifa ya kusoma stashahada diploma in primary (INTA level 4)
mkuu mimi nina uelewa kwa koz ya afya mfano ukipata chem d, bio d, na phy d hapo unaweza kujiunga na level ya cheti niaka miwili.
ukipata chem c, bio c na phy d hapo unaweza kwenda diploma kabisa miaka mi tatu.

kwa mbali mimi ninahisi ila sina uhakika kwa masomo yenu hayo ya sana huwa wanachukua minimumn D nne na wewe unazo na nihahis hizo d nne utaanza chet. sijajua kwa kozi za sanaa mnachukua mda gani kumaliza hizo level
 
Kwa mfano kwenye course wameweka 5points from 3 subjects lkn ukawa una 4.5 wanakuchagua?
halafu naona kwa kombi yako hiyo ukipitia admission book ya TCU utaelewa mengi pia utaona kozi kibao kwa kombi yako hiyo soo ukipenda unaweza ileta hapa wajuzi waichambue zaid ili uelewe kwa kina future yake
 
Jaman vp soko la medical laboratory cz naona nina admission za kusomea hiyo kozii tuu
 
Woote mmejikita kaitka namna ya Ku qualify ..nawapongeza ni Uzi mzuri kwa wakati sahihi kabisa

Ushauri wangu kwa wale ambao ndo mnaaply

Kama ww ni mtoto Wa maskini kweli na una uhakika Wa kupata MKOPO (Una vigezo) .

Ukishaapply mkopo sasa ukahamia kuapply chuo ..hakikisha unachagua chuo unachokitaka na unajua kabisa una vigezo .maana ile selection yako ya kwanza wale Wa HELSB huwa wanapeleka mkopo wako chuo cha kwanza ulichochaguliwa

Sasa ikitokea uka transfer chuo au ukawa DECLINED Na chuo .INA maana mkopo wako utabaki chuo ulichochuguliwa awali..na itakuchukua muda mrefu kuja kuupata ..kwaiyo unaweza kusoma semester nzima bila BOOM ..

Ni Ushauri wangu huo msidanganyike na CAS eti inachambua wasio na vigezo inawaweka pembeni sio kweli .

Kuna kipindi Cas inachagua kutokana na minimum qualufications ..sasa kuna vyuo kama UDSM hawafati iyo ..wao wapo juu kidogo
 
Back
Top Bottom