Ushauri kuhusu Actuarial Science na Geomatics

Ushauri kuhusu Actuarial Science na Geomatics

Salam Wakuu.. Naombeni ushauri kuhusu hizo course mbili tajwa hapo juu ikiwa ni pamoja na requirments, vyuo hapa tz vinavyotoa, competition kuzipata, na soko la ajira.. Natanguliza shukrani zangu za dhati..

Geomatics ina nafasi kubwa ya ajira...mfano taasisi zinazo wahitaji watu wa geomatics ni kama ifuatavyo....Tanesco,hospitali,bank,kila halmashauri inahitaji watu atleast wanne....TANAPA,TANROADS,....uzuri wa fani hii ina mambo ya GIS ambayo ni muhimu kwa kila ofisi kubwa....MIGODINI....almost ukimaliza GM kama inavyoitwa utanufaika sana....Hata GEOINFORMATICS inafaa kaka....
 
Vp Kuhusu Agrobusiness Na Actuarial Science Ipi Ni Nzuri Kwa Future? Hasa Upatikanaji Wa Ajira?
 
geomatics ni nzuri tuu but cha msingi ni juhudi na tazama uhalisia wa matokeo yako yatakavyokuaa koz hizo course ushindan hatariii.... about actuarial science Sijui Saana ila ni nzuri sana nasikia ..Niko ardhi waweza nitafuta for more info
Naomba kufahamu kuhusu Civil Engineering hapo Ardhi. Nina B, B+,B . Possibility ya loan na kuhusu mazingira ya chuo?
 
Wakuu ahsanteni sana kwa ushauri. Mi ndiye mtoa mada....Nilikuwa jkt.. Nashkuru Mungu tokeo limetoka vizuri. nina a a a. Sasa wakuu huku mtaani kila nayekutana nae ananiambia Petroli na kwa kweli hyo kozi mi naogopa pengina ajira zikazingua mbeleni. Naombeni plz mwenye info anijuze... Naona ni vyema niwaulize nyie wakubwa zangu ili nitakapofanya maamuzi hv karibuni yawe sahihi...kati ya hz nne civil eng, petrol eng,geomatics na actuarial ipi nitangulize??? Zote nazikubali.. Natanguliza shukrani...
 
Wakuu ahsanteni sana kwa ushauri. Mi ndiye mtoa mada....Nilikuwa jkt.. Nashkuru Mungu tokeo limetoka vizuri. nina a a a. Sasa wakuu huku mtaani kila nayekutana nae ananiambia Petroli na kwa kweli hyo kozi mi naogopa pengina ajira zikazingua mbeleni. Naombeni plz mwenye info anijuze... Naona ni vyema niwaulize nyie wakubwa zangu ili nitakapofanya maamuzi hv karibuni yawe sahihi...kati ya hz nne civil eng, petrol eng,geomatics na actuarial ipi nitangulize??? Zote nazikubali.. Natanguliza shukrani...

piga petro kijana Taifa linawaandaa..umesema una A A A kitaifa umekua wa ngapi mkuu?
 
Wakuu ahsanteni sana kwa ushauri. Mi ndiye mtoa mada....Nilikuwa jkt.. Nashkuru Mungu tokeo limetoka vizuri. nina a a a. Sasa wakuu huku mtaani kila nayekutana nae ananiambia Petroli na kwa kweli hyo kozi mi naogopa pengina ajira zikazingua mbeleni. Naombeni plz mwenye info anijuze... Naona ni vyema niwaulize nyie wakubwa zangu ili nitakapofanya maamuzi hv karibuni yawe sahihi...kati ya hz nne civil eng, petrol eng,geomatics na actuarial ipi nitangulize??? Zote nazikubali.. Natanguliza shukrani...

weka petroleum geology first choice,pia weka na engineering geology,petroleum geology ni nzuri sana,petroleum engineering naona watu washaanza kujaa pia,ucsahau na chemical and processing engineering pia..japokua hujaz course tatu chuo kimoja utachagua,but kwa ushauri wng jaza petroleum geology..then hongera kijana mungu atakusaidia na chuo upasue kama hvy..all the best
 
weka petroleum geology first choice,pia weka na engineering geology,petroleum geology ni nzuri sana,petroleum engineering naona watu washaanza kujaa pia,ucsahau na chemical and processing engineering pia..japokua hujaz course tatu chuo kimoja utachagua,but kwa ushauri wng jaza petroleum geology..then hongera kijana mungu atakusaidia na chuo upasue kama hvy..all the best
Ahsante mkuu kwa ushauri wako...inabidi ni come up na choice moja coz kidogo naona kuna uwezekano mkubwa sana nitapata first choic nitakayoiweka.. ahsante tena..
 
Wakuu ahsanteni sana kwa ushauri. Mi ndiye mtoa mada....Nilikuwa jkt.. Nashkuru Mungu tokeo limetoka vizuri. nina a a a. Sasa wakuu huku mtaani kila nayekutana nae ananiambia Petroli na kwa kweli hyo kozi mi naogopa pengina ajira zikazingua mbeleni. Naombeni plz mwenye info anijuze... Naona ni vyema niwaulize nyie wakubwa zangu ili nitakapofanya maamuzi hv karibuni yawe sahihi...kati ya hz nne civil eng, petrol eng,geomatics na actuarial ipi nitangulize??? Zote nazikubali.. Natanguliza shukrani...

Chagua civil eng, kijana
 
Kazi unafanyia wap kwa acturial


unafanyia kwenye mifuko ya hifadhi ya jamii, ila ukiwa qualified Actuary ni vyema ukawa mshauri wa hii mifuko na utakuwa unaifanyia tathmini (actuarial valuation) na watakulipa pesa ndeefu sana so kama wewe upo vizuri kwenye maths go for it!!
 
Chochote utapata na hizo course zote zinanafasi tu nzuri za ajira japo zinatofaitian kidogo.. Mungu akutangulie katika choices zako.. Jaza best course at ud na iyo geomtics.. Pia thnx brothers kwa kuwashauri wadogo zetu.. Ndo ubindamu na uungwana huu ..kwa wale weny shida na ardhi unversity tuwasiliane kwa ushirikiano tuu... 0712492799
 
Naomba kufahamu kuhusu Civil Engineering hapo Ardhi. Nina B, B+,B . Possibility ya loan na kuhusu mazingira ya chuo?
About loan sijui.. Apo wasubir wausiika na pia soma criteria wanatumia kugawa loan ... Mazingira ni ya kitanzania.. Msuli saanaaaa... Nothing complicated... Lakin ayo maswali yako si ya kisomi saana... Kupt its posibo
 
nasoma Ardhi,Geomatics is the best, kama umefaulu vzur,nakushaur chukua hyo,japokuwa mi sisomi hyo
 
Chochote utapata na hizo course zote zinanafasi tu nzuri za ajira japo zinatofaitian kidogo.. Mungu akutangulie katika choices zako.. Jaza best course at ud na iyo geomtics.. Pia thnx brothers kwa kuwashauri wadogo zetu.. Ndo ubindamu na uungwana huu ..kwa wale weny shida na ardhi unversity tuwasiliane kwa ushirikiano tuu... 0712492799

ukipata wa kukubeba nistue na mimi kaka.
 
we mbiga c unasoma vertinary medicine..unakwenda kutibu mbwa na paka..sasa bora nani?kama huijui geomatics bora ukae kimya tu usiropokr hapa maana ww umeshakua mtu mzima

Sisomi kozi yeyote kati ya hizo, ila kwa tz ya sasa huwezi na hutakaa uweze kilinganisha BVM na geomatics.
 


unafanyia kwenye mifuko ya hifadhi ya jamii, ila ukiwa qualified Actuary ni vyema ukawa mshauri wa hii mifuko na utakuwa unaifanyia tathmini (actuarial valuation) na watakulipa pesa ndeefu sana so kama wewe upo vizuri kwenye maths go for it!!
Qualified Acturial??... Kwamba na wenyewe wana board zao.... Na zinatumia mda gani... Kumaliza? Na vipi kuhusu gharamu...?
 
Back
Top Bottom