Rosles Len
Member
- Oct 21, 2012
- 18
- 2
Salam Wakuu.. Naombeni ushauri kuhusu hizo course mbili tajwa hapo juu ikiwa ni pamoja na requirments, vyuo hapa tz vinavyotoa, competition kuzipata, na soko la ajira.. Natanguliza shukrani zangu za dhati..
geomatics ni nzuri tuu but cha msingi ni juhudi na tazama uhalisia wa matokeo yako yatakavyokuaa koz hizo course ushindan hatariii.... about actuarial science Sijui Saana ila ni nzuri sana nasikia ..Niko ardhi waweza nitafuta for more infoSalam Wakuu.. Naombeni ushauri kuhusu hizo course mbili tajwa hapo juu ikiwa ni pamoja na requirments, vyuo hapa tz vinavyotoa, competition kuzipata, na soko la ajira.. Natanguliza shukrani zangu za dhati..
. Mkuu ahsante kwa ushauri. 0712486903 is my number. Plz bip anytime nikupigie unijuze zaidi hasa kuhusu geomaticsgeomatics ni nzuri tuu but cha msingi ni juhudi na tazama uhalisia wa matokeo yako yatakavyokuaa koz hizo course ushindan hatariii.... about actuarial science Sijui Saana ila ni nzuri sana nasikia ..Niko ardhi waweza nitafuta for more info
Soma Geomatics ni bora
geomatics lazima uwe umesoma PCM na saihv ina competition kidogo tofaut na enzi zetu mpaka walio na 3 ya 16 wakichukuliwa,actuarial science ukiwa nadhan ukiwa umesoma namba tu advance but pia ina competition
Bongo hakuna maacturial scientist wengi, na course Bado mpya so ajira zitakuwepo ila soko lake ni dogo sana, maybe baada ya graduants 100 wa viwango kazi zitaanza kuwa haba, so possibly umechelewa kidogo sana
Ingawa kama unajiamini ukaisoma na ukapata qualifications nzuri umaskini utaupiga kumbo mapema sana
Hiyo nyingine ni technolojia everyday inakuwa so haina mapungufu makubwa, ingawa ajira zake bado ndogo ila after 3-4yrs itakuwa na ajira nyingi sana
Big result now imekupitishaeeeee
Salam Wakuu.. Naombeni ushauri kuhusu hizo course mbili tajwa hapo juu ikiwa ni pamoja na requirments, vyuo hapa tz vinavyotoa, competition kuzipata, na soko la ajira.. Natanguliza shukrani zangu za dhati..