Nashangaa sana watu wanavyosema actuarial haina soko mara haina competition..nakumbuka akati naomba chuo nliweka ya kwanza kabisa, japo nlifaulu maths lakin sikuipata!!! Kwa kifupi kama hujasoma maths hii kozi sahau, na kama huna one kali pia sahau!! Na kama hupendi maths huko sio kwako maana ni maths mwanzo mwisho!!! Nashauri kama mtoa mada kafaul maths basi aeke ya kwanza kabisa!!! Trust me actuarial is still the best hapa tz!![/QUOTE
Actuarial ni course nzuri sana ila one kali inahitajika hapa.... Na ni mwendo wa namba tu, huwa tunaangaliana usoni tu vipindi vya probability.