Munch wa Annabelle
JF-Expert Member
- Aug 13, 2019
- 6,301
- 10,906
Jombaa uwez kusoma koz yeyote ya maana hata diploma ya Certificate uliyonayo huwez soma pia, nenda veta baadae uwe tutorLook dis another bitch
Jombaa uwez kusoma koz yeyote ya maana hata diploma ya Certificate uliyonayo huwez soma pia, nenda veta baadae uwe tutorLook dis another bitch
😂😂😂😂😂Na D yake moja ya kiswahili
Tayari then.....Ok Open u'r ass
umeshindwa kuangalia ata hand written yake ilivyo...haya tuombe radhi😆Upo sahihi uyu ni kiazi zero brain nilikuwa namtetea kumbe bonge ya fala...
Weka vidole mbil af zoomTayari then.....
Kuwa Jr sio sababu, anatakiwa aendane na kada inavyotaka, sasa anachat km boda na demu wake, mxxxiiiieeeew.Ticha aheshimiwe tafadhali yeye ni junior kwenye hio tasinia😆
Nimekosa mimi nimekosa sana naomba kitubio.....umeshindwa kuangalia ata hand written yake ilivyo...haya tuombe radhi😆
Tayari thenWeka vidole mbil af zoom
Kwenda zako huko, yaan uanze certificate ya ualimu, huku ukiacha za kada ingine? Ulipata div 4 O level, tena D za kisw, engl, civ na hist,We huna akil co kila alieanzia chet alifel kil mt anasabab zake mshamba ww
😂😂😂😂😂Pambana humo humo wenzio wanaingia mpaka kwenye Kaushal damu na maisha yanasonga 😂😂😂
pole kwa matusi ya members,kuwa mvumilivu mkuu, wenye moyo wa kushauri watakuja. ila nikukumbushe kitu,andika vizuri (acha usharobaro,acha uvivu wa kuandika)Look dis another bitch
Hana vigezo vya kusoma HATA hiyo diploma ya UALIMU mambo yamebadilika sanaEndelea na diploma ya ualimu kwasababu tayari una certificate. Hakikisha unasoma Diploma yenye masomo. Ukimaliza diploma kwa na ukapata kuanzia GPA ya 3 kwenda juu tumia cheti cha diploma kujiunga na degree katika moja ya kozi zifuatazo:
Bachelor of Arts in Project Planning and Management or Community Development
Bachelor Degree in Records, Archives and Information Management
Bachelor Degree in Adult Education and Community Development
Bachelor Degree of Business Administration in Human Resources Management
Bachelor Degree in Business Administration
Bachelor Degree in Community Development
Bachelor of Statistics
Bachelor of Social Work
Kama unapenda kuajiriwa usiache kazi yako ya ualimu bali ukisha hitimu bachelor yako anza kufanya interview mbalimbali huku unafanya hiyo kazi yako. Mwisho kabisa utabahatika kupata nafasi mpya. Hapo ndio acha
Hakikisha unasoma kitabu cha TCU guide book kupata mwongozo zaidi.
Unaweza kusoma chochote unachopenda. Ni sula la muda, uwezo na mapenzi yako tu.Mm nimeajiriwa kama mwlm ngaz ya cheti ila sitak kuendelea na ualim saaa n kozi gan naweza kujiendeleza nayo ambayo huwa ina nafasi za kazi zaidi msaada wenu wadau
Chochote kama kipi? Kama hata diploma ya UALIMU hawez soma?Unaweza kusoma chochote unachopenda. Ni sula la muda, uwezo na mapenzi yako tu.
Ni ngumu sana kumshauri mtu mzima tena mwalimu asome nini. Inaonyesha elimu yetu haitusaidii kufikiri na kuchambua mambo.Chochote kama kipi? Kama hata diploma ya UALIMU hawez soma?
Labda akasome journalism huko, marketing au aende veta kidogo anaweza anzia diploma lkn nje hapo kozi nzuri nzuri zote hawez Anza diploma ndo maana nikamshauri aende veta ili baadae awe tutorNi ngumu sana kumshauri mtu mzima tena mwalimu asome nini. Inaonyesha elimu yetu haitusaidii kufikiri na kuchambua mambo.
xx=sasaHizo dharau ndo nazikimbia xx mm mana ttz lipo kwa serikal co cc tulioingia kweny kada