- Thread starter
- #21
Aise afadhal tumeelewana dah bless 🙌Jamii forum imekuwa ya kipuuzi sana badala ujibu hoja ya mtoa mada unatoa disi fuc$ all of you..... Mliotoa disi
Mwamba kasome mambo ya afya kama clinical au pharmacy.....
Aise afadhal tumeelewana dah bless 🙌Jamii forum imekuwa ya kipuuzi sana badala ujibu hoja ya mtoa mada unatoa disi fuc$ all of you..... Mliotoa disi
Mwamba kasome mambo ya afya kama clinical au pharmacy.....
Kwahyo akaanze Tena Certificate sndio?Jamii forum imekuwa ya kipuuzi sana badala ujibu hoja ya mtoa mada unatoa disi fuc$ all of you..... Mliotoa disi
Mwamba kasome mambo ya afya kama clinical au pharmacy.....
Sasa unaandika hivi hao wanafunzi wako Wana andika vipi!Mm nimeajiriwa kama mwlm ngaz ya cheti ila sitak kuendelea na ualim saaa n kozi gan naweza kujiendeleza nayo ambayo huwa ina nafasi za kazi zaidi msaada wenu wadau
o-level ulisoma masomo gani ?Kozi gn hujaelewa maelezo
Em andika vizuri, ndo nini hiki sasa? Nawee umeajiriwa ufundishe watoto wa umma? Kweli walimu halali kudharaulika. MxxiiiieeewHizo dharau ndo nazikimbia xx mm mana ttz lipo kwa serikal co cc tulioingia kweny kada
Na D yake moja ya kiswahiliJamii forum imekuwa ya kipuuzi sana badala ujibu hoja ya mtoa mada unatoa disi fuc$ all of you..... Mliotoa disi
Mwamba kasome mambo ya afya kama clinical au pharmacy.....
😂😂😂😂😂Wewe ni halali uache ualimu
Inategemea na ufaulu wake kwa mtu aliye somea ualimu kwa ngazi hiyo maana yake ufaulu ulikuwa chiniKwahyo akaanze Tena Certificate sndio?
Ticha aheshimiwe tafadhali yeye ni junior kwenye hio tasinia😆Em andika vizuri, ndo nini hiki sasa? Nawee umeajiriwa ufundishe watoto wa umma? Kweli walimu halali kudharaulika. Mxxiiiieeew
We huna akil co kila alieanzia chet alifel kil mt anasabab zake mshamba wwInategemea na ufaulu wake kwa mtu aliye somea ualimu kwa ngazi hiyo maana yake ufaulu ulikuwa chini
Kwa kozi kali kama pharmacy akikulupukia degree watamtema apo aanze diploma
Hana vgezo hvo Hilo Nina uhakika naloSoma Sheria achana na Kuajiriwa
Tupe matokeo yako na sababu ya kusoma certificateWe huna akil co kila alieanzia chet alifel kil mt anasabab zake mshamba ww
Look dis another bitchKama alishindwa kusoma diploma ya ualimu akasoma certificate NDO atakua na vigezo vya kusoma diploma ya clinical medicine au pharmacy? Akienda uko labda aanze Certificate na szan kama ana hivo vgezo pia vya Certificate ya hzo kada, hata Sheria szan kama atakua na vgezo NDO maana nmemshaur aende veta, maana hata diploma ya ualimu hawez soma vgezo vya sasa
Mkuu kubali tu kuwa ufaulu ulikua hafifuWe huna akil co kila alieanzia chet alifel kil mt anasabab zake mshamba ww
Upo sahihi uyu ni kiazi zero brain nilikuwa namtetea kumbe bonge ya fala...Kama alishindwa kusoma diploma ya ualimu akasoma certificate NDO atakua na vigezo vya kusoma diploma ya clinical medicine au pharmacy? Akienda uko labda aanze Certificate na szan kama ana hivo vgezo pia vya Certificate ya hzo kada, hata Sheria szan kama atakua na vgezo NDO maana nmemshaur aende veta, maana hata diploma ya ualimu hawez soma vgezo vya sasa
Ok Open u'r assTupe matokeo yako na sababu ya kusoma certificate
😂😂😂😂Sasa unaandika hivi hao wanafunzi wako Wana andika vipi!
Wewe tulia pambana ukiwa hapo hapo, wenzio wamejitolea kabla ya kupewa Ajira wamefanya mtihani na wamefeli😂😂 sasa wewe jichetue tu!