Lusungo
JF-Expert Member
- Jan 4, 2014
- 27,139
- 39,375
Hii ni kweli aisee... niliishika A8 ya 2017 muonekano wake ni kibokomkuu oneplus na xiaomi na wachina wazuri wazuri huwa hawauzi simu madukani, mara nyingi huuza zaidi online. ukizikuta madukani ni mtu kanunua kazieka, na bei huongezeka. hapo kama una mfanyabiashara anaeenda nje unamjua muagizie.
kuhusu A8 ni kwamba A series zote bei zake ni ghali kuliko specs zake. ni simu premium, wamelenga watu wanaopenda muonekano zaidi kuliko specification.