Zombie S2KIZZY
JF-Expert Member
- Mar 15, 2021
- 823
- 1,613
Wakuu
Nina jambo Hapa niwaulizeni hivi kati ya Samsung Galaxy S10 na iphone 7+
Ipi ni sim Kali kuanzia storag ,ram ,camera nk
Maana naona hiv vitoto vnashobokea Sana iphone
Anyway binafsi Samsung nazchukuliaga ni zakibaba Ila iphone ni za vidada
Labda kwanzia 11 kwnda juu hzo n zakibabee
Oky achana na hyo story nataka mitazamo yenu kati ya mnyama S10 na mrembo i7+ nani Yuko vzur kulko mwnzie
Maana kuna kijitu huku ni kibishi aisee
Nina jambo Hapa niwaulizeni hivi kati ya Samsung Galaxy S10 na iphone 7+
Ipi ni sim Kali kuanzia storag ,ram ,camera nk
Maana naona hiv vitoto vnashobokea Sana iphone
Anyway binafsi Samsung nazchukuliaga ni zakibaba Ila iphone ni za vidada
Labda kwanzia 11 kwnda juu hzo n zakibabee
Oky achana na hyo story nataka mitazamo yenu kati ya mnyama S10 na mrembo i7+ nani Yuko vzur kulko mwnzie
Maana kuna kijitu huku ni kibishi aisee