Nyati
JF-Expert Member
- Mar 6, 2009
- 2,528
- 1,917
- Thread starter
- #81
Nyati hebu tupe taarifa ya maamuzi yako ulinunua wapi (duka gani)? Za size gani? Aina gani (ceramic, porcelain, granite9? Na kwa bei gani kwa square metre?
Mimi nilinunua pale Mwenge karibu na kituo cha daladala cha ITV, kuna duka linaitwa CTM kama sikosei, waliniuzia za Brazil, kwa kweli kwa viwango vyangu zile ni nzuri. Bei 48,000/= per 1.44. Siyo Granite (Hazitelezi) lakini inawezekana ni kati ya hizo mbili zilizobaki. Size kwa tile moja ni kama vile 40 X 40