Tony guy
Senior Member
- Sep 29, 2015
- 107
- 44
- Thread starter
- #41
NDIO HAYO NDIO MATANGAZO MIMI NINAYO YASEMANimewahi kuskia mkuu baadhi ya nyimbo za wasanii wa kisasa kabla hazijaanza huanza kwanza nafkiri ni tangazo la vodacom linasema kazi ni kwako then wimbo ndio huanza kucheza.
Ndicho unachomaanisha hiki mkuu...?.