muvika online
JF-Expert Member
- Nov 27, 2016
- 375
- 283
Baada ya kutengeneza App ya kutazama movie zilizotafasiriwa Kiswahili inayoitwa Muvika Online, ambayo niliiweka Google Playstore August 24, 2019 mpaka kufika siku ya leo ambapo naandika thread hii September 17, 2019 App hiyo tayari imeshapakuliwa zaidi ya mara 5,000+ hii nikiwa na maana imeweza kupata download 5,000 ndani ya siku 24.
Haya ni mafanikio makubwa kwangu, nashukuru kwa hilo, kwa makadirio ya haraka ili kuisimamisha App hii nimetumia $25 kununua Code kupitia Codecanyon pia $50 kwa ajili ya kumlipa Developer aweza kufanya reskin kwani unaponunua ni lazima uirekebishe, pia natumia $30 kwa kila update inapotoka hii namlipa Developer aweze kuifanyia App yangu update.
Hivyo nimetumia jumla ya $105 katika kuisimamisha App hiyo, ila ukiachana na hayo kila siku lazima nitumie shilingi 5000 (1000 kwa ajili ya kukodi CD na 4000 kwa ajili ya bando) ili niweze kupandisha movie kwenye App hiyo. Kwa sasa bado sijaanza kupata faida yoyote kupitia app hiyo kwani Google Adsense hawaruhusu App ya namna hiyo kwa ajili ya matangazo.
Huo ulikuwa ni utangulizi tu kwani sio jambo lililo nifanya niandike thread hii. Twende kwenye point yenyewe.
Lakini Itambulike kuwa Sijaandika thread hii kwa ajili ya kupromote Website ama App yangu bali kwa ajili ya kuwapa funzo Watanzania wenzangu.
Mnamo mwanzoni mwa mwezi huu wa 09 nilijiwa na wazo kwanini nisetengenze website amabayo inahusika na Micro Task kama vile Amazon Mechanical Turk inayomilikiwa na Amazon, ndipo nikaamua kununua Domain ya $15, VPS ya $20 (ambayo nalipia kila mwezi) kisha baada ya hapo nikatafuta Script ambayo niliinunua $200. Kutokana na mimi kuwa na uzoefu mkubwa sana wa masuala ya Script za Php hivyo kwa upande wa customization sikuhangaika kwani niliweza kuifanya mwenyewe mwanzo mwisho.
Kisha baada ya kumaliza kila kitu, Nikatufa mtu wa kuweza kunifanya SEO hivyo nikamlipa $50. Jumla nikawa nimetumia $285.
Jinsi hii Website inavyofanya kazi
Kwanza kabisa kuwa watu wa aina mbili ambao wanatakiwa kujiunga na hii website, wa kwanza ni mwajiri na wa pili ni mfanyakazi. Mwajiri kazi yake inakuwa ni kupost kazi ndogo ndogo (Mfano tuseme kuna Website inalipa kupitia referral hivyo mwajiri anatafuta watu wajiunge kupitia link yake Ili yeye apate pesa za referral), sasa mfanyakazi kazi yake inakuwa ni kufanya kazi ambayo mwajiri ameitoa.
Inatakiwa afanye hiyo kazi kama mwajiri alivyoelekeza na atakapokamilisha kazi atatuma kuthibitisho kinachoonyeza kuwa amemeliza kazi, mwajiri ataikagua kazi na kisha atamlipa mfanyakazi kiasi ambacho website imepanga kutokana na ukubwa wa kazi, ila kazi ambayo mfanyakazi anatakiwa afanye ni ile kazi ndogo ambayo inachukua chini ya dakika 5 kuimaliza.
Hapo nadhani nimeeleweka, ila ili uwe mwajiri ni lazima uwe na mtaji kwa kuwa utatakiwa uweke pesa kwenye akaunti yako ambayo utaitumia kuwalipa wafanyakazi wako kiwango cha chini cha kuweka pesa ni $5 kwa sasa ila mwezi ujao itapanda nakuwa $10.
Mbali na hapo ndani ya website yangu kuna referral program ambayo ukimualika mtu ajiunge basi tunakulipa $0.20, ila ni lazima huyo mtu awe amefanya angalau kazi moja sio hivyo tu kwa yule ulie mualika kila akifikisha $5 basi wewe uliemualika tunakupa pia. Ila kwawale wanopenda kutumia trick hapa hamtaweza kwani endapo ukifanya withdraw (ambayo kima cha chini ni $5) basi kabla ya kukulipa ni lazima tuipitie akaunti yako na za watu uliowaalika na tukibaini udanganyifu basi imekula kwako.
Hayo ni macheche tu yapo mengi sana, hivyo napenda kuwafumbua macho blog na adsense sio zenyewe tu ndio zinalipa na ukiaangalia sasa hivi kuanzia Facebook hadi adsense pote wamebana mimi kupitia website yangu naamini ndani ya miezi mitatu ijayo nitaanza kutengeneza pesa za kutosha kutoka na fee mbalimbali kama vile, kwa mwajiri anapoweka kazi yake (Campaign) basi tutamkata $0.50 kama "Approval fee" pia kwa upande wa wafanyakazi tuna fee mara 2, moja kwa kila kazi unayofanya na kulipwa basi tunakukata 10% ya pesa uliolipwa na pili kila unapofanya withdraw basi kuna fee ya 3% ila unaweza kuondoa hiyo fee ya 3% endapo ukialika watu 100 kujiunga na website hivyo utabakiwa na fee ya 10% tu.
Kwa wale wanahitaji kuitazama website yangu basi tazama hapa >> DiaWokers
Ifaamike sijaandika thread hii ili kujipatia watembeleji bali ili kufungua bongo zenu hasa kwa wale wana blogger au wanaotaka kutengeneza pesa kupitia Online
Kwa leo naomba niishie hapa, ila muhimu ninachotaka ni sikiliza maoni na ushauri kutoka kwenu
Pia kwa wale wanao au watakao jiunga kama waajiri kila muda ninapopata nafasi nitakuwa natoa vocha ya $5 ambayo utaweka kwenye akaunti yako na utapata pesa ambayo utaitumia kwenye campaign.
Haya ni mafanikio makubwa kwangu, nashukuru kwa hilo, kwa makadirio ya haraka ili kuisimamisha App hii nimetumia $25 kununua Code kupitia Codecanyon pia $50 kwa ajili ya kumlipa Developer aweza kufanya reskin kwani unaponunua ni lazima uirekebishe, pia natumia $30 kwa kila update inapotoka hii namlipa Developer aweze kuifanyia App yangu update.
Hivyo nimetumia jumla ya $105 katika kuisimamisha App hiyo, ila ukiachana na hayo kila siku lazima nitumie shilingi 5000 (1000 kwa ajili ya kukodi CD na 4000 kwa ajili ya bando) ili niweze kupandisha movie kwenye App hiyo. Kwa sasa bado sijaanza kupata faida yoyote kupitia app hiyo kwani Google Adsense hawaruhusu App ya namna hiyo kwa ajili ya matangazo.
Huo ulikuwa ni utangulizi tu kwani sio jambo lililo nifanya niandike thread hii. Twende kwenye point yenyewe.
Lakini Itambulike kuwa Sijaandika thread hii kwa ajili ya kupromote Website ama App yangu bali kwa ajili ya kuwapa funzo Watanzania wenzangu.
Mnamo mwanzoni mwa mwezi huu wa 09 nilijiwa na wazo kwanini nisetengenze website amabayo inahusika na Micro Task kama vile Amazon Mechanical Turk inayomilikiwa na Amazon, ndipo nikaamua kununua Domain ya $15, VPS ya $20 (ambayo nalipia kila mwezi) kisha baada ya hapo nikatafuta Script ambayo niliinunua $200. Kutokana na mimi kuwa na uzoefu mkubwa sana wa masuala ya Script za Php hivyo kwa upande wa customization sikuhangaika kwani niliweza kuifanya mwenyewe mwanzo mwisho.
Kisha baada ya kumaliza kila kitu, Nikatufa mtu wa kuweza kunifanya SEO hivyo nikamlipa $50. Jumla nikawa nimetumia $285.
Jinsi hii Website inavyofanya kazi
Kwanza kabisa kuwa watu wa aina mbili ambao wanatakiwa kujiunga na hii website, wa kwanza ni mwajiri na wa pili ni mfanyakazi. Mwajiri kazi yake inakuwa ni kupost kazi ndogo ndogo (Mfano tuseme kuna Website inalipa kupitia referral hivyo mwajiri anatafuta watu wajiunge kupitia link yake Ili yeye apate pesa za referral), sasa mfanyakazi kazi yake inakuwa ni kufanya kazi ambayo mwajiri ameitoa.
Inatakiwa afanye hiyo kazi kama mwajiri alivyoelekeza na atakapokamilisha kazi atatuma kuthibitisho kinachoonyeza kuwa amemeliza kazi, mwajiri ataikagua kazi na kisha atamlipa mfanyakazi kiasi ambacho website imepanga kutokana na ukubwa wa kazi, ila kazi ambayo mfanyakazi anatakiwa afanye ni ile kazi ndogo ambayo inachukua chini ya dakika 5 kuimaliza.
Hapo nadhani nimeeleweka, ila ili uwe mwajiri ni lazima uwe na mtaji kwa kuwa utatakiwa uweke pesa kwenye akaunti yako ambayo utaitumia kuwalipa wafanyakazi wako kiwango cha chini cha kuweka pesa ni $5 kwa sasa ila mwezi ujao itapanda nakuwa $10.
Mbali na hapo ndani ya website yangu kuna referral program ambayo ukimualika mtu ajiunge basi tunakulipa $0.20, ila ni lazima huyo mtu awe amefanya angalau kazi moja sio hivyo tu kwa yule ulie mualika kila akifikisha $5 basi wewe uliemualika tunakupa pia. Ila kwawale wanopenda kutumia trick hapa hamtaweza kwani endapo ukifanya withdraw (ambayo kima cha chini ni $5) basi kabla ya kukulipa ni lazima tuipitie akaunti yako na za watu uliowaalika na tukibaini udanganyifu basi imekula kwako.
Hayo ni macheche tu yapo mengi sana, hivyo napenda kuwafumbua macho blog na adsense sio zenyewe tu ndio zinalipa na ukiaangalia sasa hivi kuanzia Facebook hadi adsense pote wamebana mimi kupitia website yangu naamini ndani ya miezi mitatu ijayo nitaanza kutengeneza pesa za kutosha kutoka na fee mbalimbali kama vile, kwa mwajiri anapoweka kazi yake (Campaign) basi tutamkata $0.50 kama "Approval fee" pia kwa upande wa wafanyakazi tuna fee mara 2, moja kwa kila kazi unayofanya na kulipwa basi tunakukata 10% ya pesa uliolipwa na pili kila unapofanya withdraw basi kuna fee ya 3% ila unaweza kuondoa hiyo fee ya 3% endapo ukialika watu 100 kujiunga na website hivyo utabakiwa na fee ya 10% tu.
Kwa wale wanahitaji kuitazama website yangu basi tazama hapa >> DiaWokers
Ifaamike sijaandika thread hii ili kujipatia watembeleji bali ili kufungua bongo zenu hasa kwa wale wana blogger au wanaotaka kutengeneza pesa kupitia Online
Kwa leo naomba niishie hapa, ila muhimu ninachotaka ni sikiliza maoni na ushauri kutoka kwenu
Pia kwa wale wanao au watakao jiunga kama waajiri kila muda ninapopata nafasi nitakuwa natoa vocha ya $5 ambayo utaweka kwenye akaunti yako na utapata pesa ambayo utaitumia kwenye campaign.
Kwa wale waajiri ingia kwenye akaunti yako upande wa generate/ redeem vouchers na weka hizi code utapata $5 F32BB7D0B4 Tumia hizi $5 ndani ya siku 3 baada ya hapo nitazichukua
View attachment 1210538
Hadi kufikia leo ndani ya Muvika Online tayari nimeisha pandisha Movie 92, Series 6 Pamoja na Live Tv 2